Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 25,012
- 56,303
Huu ndio mchoro jinsi jengo la shirika la Umeme nchini Tanzania (Tanesco) litakavyokuwa mara baada ya kukamilika wilayani Chato mkoani Geita.
Huu ndio mchoro jinsi jengo la shirika la Umeme nchini Tanzania (Tanesco) litakavyokuwa mara baada ya kukamilika wilayani Chato mkoani Geita.
View attachment 1234340
Wakimaliza wajenge kiwanda cha kutengeneza ndege kabisa.Huu ndio mchoro jinsi jengo la shirika la Umeme nchini Tanzania (Tanesco) litakavyokuwa mara baada ya kukamilika wilayani Chato mkoani Geita.
View attachment 1234340
Na Chikundi masasi mtajenga?Sasa hivi umeme hadi vijijini. Hakuna tofauti kati ya chato na huko ulipo hivyo wanahaki ya kujengewa ofisi ya kisasa.
Si vibaya ni maendeleo ajira zitaongezeka kutakua na wilaya ya katoro,buseresere kule kagera biharamulo itakatwa irudi mkoa wa chato na halmashauri ya wilaya ya chato viva magufuliSalamu sana ndugu wana Jf
Napenda kufahamu,je Chato iko mbioni kuwa makao makuu ya mkoa? Maana taasisi kubwa kubwa za kimkoa zimekuwa zikijengwa.
Hivi karibuni nimeona ujenzi wa jengo litakalokuwa makao makuu ya TANESCO huko,ni bonge la jengo na zuri kweli kweli.Pamoja kwamba sio vibaya kuwa mkoa mpya lakini ni wilaya zipi zitafanywa kuwa kuripoti mkoani Chato?
Sasa Geita ilivyo ndogo vile kuimega tena sio sawa bora wangechukua Biharamulo na Kakonko then Chato Geita ibaki maana ni ndogo sanaSi vibaya ni maendeleo ajira zitaongezeka kutakua na wilaya ya katoro,buseresere kule kagera biharamulo itakatwa irudi mkoa wa chato na halmashauri ya wilaya ya chato viva magufuli
Salamu sana ndugu wana Jf
Napenda kufahamu,je Chato iko mbioni kuwa makao makuu ya mkoa? Maana taasisi kubwa kubwa za kimkoa zimekuwa zikijengwa.
Hivi karibuni nimeona ujenzi wa jengo litakalokuwa makao makuu ya TANESCO huko,ni bonge la jengo na zuri kweli kweli.Pamoja kwamba sio vibaya kuwa mkoa mpya lakini ni wilaya zipi zitafanywa kuwa kuripoti mkoani Chato?
vipi kiongozi, weekend imeisha aje? ndio wajenge kiwanda cha ndege, cha benz na porshe na bentley. kuwa na a very blessed week ahead mkuu, God bless youWakimaliza wajenge kiwanda cha kutengeneza ndege kabisa.
vipi kiongozi, weekend imeisha aje? ndio wajenge kiwanda cha ndege, cha benz na porshe na bentley. kuwa na a very blessed week ahead mkuu, God bless you
siifananishe Moshi, na vitu vya kijinga,hio chato baada ya miaka 50 ndo itakua km Moshi na wakati huo moshi nahisi itakua km istanbul,kinachoukuza mkoa ni mapato yake na mzunguko wa pesa,,sio majengo ya serikali MangiMbona unaugua sana ndugu.
Mbona Moshi kulijengwa lami kila wilaya je ulikuwa ndio makao makuu ya nchi?
Hapana labda 2026+>>Na Chikundi masasi mtajenga?