So hapa ni kumaanisha juu una chumba kimoja cha kulala (cha mwenye nyumba) wengine watalala nyumba ya chini ok ni idea nzuri maana mtu unafanya kitu kulingana na uwezo.....ila akina dogo janja wanaweza laumu kimtindo kuwa ah dingi naye kaamua kukaa ghorofani peke yake.....View attachment 2977960
Asante mkuu
Idea ni isizidi SQM 50. Kuwe na minsitting room ft 10X8ft, bedroom ft 12Xft 14, dressing room ft 10X ft 6, bathroom ft 5X ft 6, staircase na balcony(au isiwepo kabisa. Pasiwe na mambo mengi. Imagine kitu kama hicho hapo juu
c.c mzabzab