Jenerali Ulimwengu: Wazalendo wote wanatakiwa kumuunga mkono Rais Samia

Kwa hiyo,kwa uelewa wako hizo drama za Magufuli za kwenda Butimba kwenye here za moja miongoni mean mengi,zinamfanya awe bora? Hivyo ndio vituko vyenyewe vinavyothibitisha mapungufu yake!

A president wasting his valuable time with inmates. No! This is ridiculous!

Badala ashughulikie matatizo makubwa ya nchi na Dunia yeye anahangaika na mambo madogo madogo kutafuta umaarufu kwa watu wajinga wa nchi hii!
Nawe sasa! Hata kama mtu humpendi, mlinganishe na wengine. Umesahau tulikuwa na marais waliosafiri dunia nzima hadi kupokelewa na wanamziki? Kitabu cha Mwinyi sijui kama kilieleza alivyokwenda kuangalia mziki wa Kanda Bongo man, wakati kuna mgomo wa madaktari Muhimbili!
 
Kwa wananchi wa kawaida nakubali. Lakini mbona wasomi wengi nao walijitoa akili na kusema au kufanya vitu vya kiwendawazimu kabisa? Unamkumbuka yule mama waziri wa Afya na malimau yake akifanya vitu vya kichekesho mbele ya kadamnasi? Magufuli angekuwepo mpaka sasa hivi huenda angekuwa ameshapata kichaa. Unamkumbuka ma-profesa wengi wetu walivyojitoa ufahamu kwa kuunga mkono au kusema vitu ambavyo haviendani kabisa na elimu yao? Da... mpaka sasa nikikumbuka inakuwa kama nchi ilikuwa imenyunyiziwa dawa.
Mkuu walicheza ngoma kulingana na mpigaji alivyo taka kumbuka pia ya prof vimacho na dawa ya Corona toka Madagasca na wataalamu wa afya tena katoka katika hospitali ya taifa na mtambo wa nyungu na hao hao wasomi ndo walimuingiza chaka katika sakata la makinikia nchi hii unafiki ni mkubwa sana mkuu
 
he stressed the importance of making the right choice, because, he said, ‘‘our heads of state in our little countries are too important and they cannot be compared with the leaders of more developed countries”.

‘‘You see these Italians,’’ he said, pointing his index finger nowhere in particular. ‘‘They have a new government every three months (this was the pre-Berlusconi era) but there is no crisis in government. If they choose a disc-jockey, he will go to government house and dance 24/7 but government business will carry on unaffected,’’ he said, doing one of his trademark chuckles

‘‘But if you the Waswahili make that mistake, everything will come to a standstill except disco dancing, and all of

Maneno mazito kwa mtaa wa Ofisi Ndogo Lumumba, lazima kuwatazama wateuliwa wa ngazi hii ya juu yaani Urais.
 
Summary ya Ripoti ya TUME YA KERO ZA RUSHWA NCHINI chini ya Jaji Joseph Warioba ya 1996 ukurasa wa 166 katika aya/fungu la 289 hadi 291 ikijadili kuhusu uadilifu wa Viongozi imeandika kwamba "Miongoni mwa sababu zinazofanya uongozi wa juu kuwa dhaifu ni namna wanavyoandaliwa na kuteuliwa. Wengi wa Viongozi wa juu - Makatib Wakuu na Wakuu wa Idara zinazojitegemea, wameteuliwa toka taaluma mbali mbali ambazo sio za utawala na hata baada ya kuteuliwa hawakupitishwa mafunzo ya utawala. Kwa hiyo hawafahamu sheria,Kanuni za utumishi,Kanuni za Fedha na Nyaraka mbali mbali za Utumishi na hazina,
290. Aidha, utaratibu wa kuwateua viongozi hawa wa juu haufahamiki vizuri.Tume ya Mramba ilipendekeza kwa iwepo Kamati itakayomshauri Rais kuhusu uteuzi wa Maafisa hawa ambao itakuwa na wajumbe .........
TUME HII YA KERO ZA RUSHWA iliweka msingi mzuri wa namna ya UTEUZI lakini nani anayesoma NYARAKA ZA MIAKA 25 iliyopita (1996)?
angalia tume inavyosema kuhusu uteuzi..

291.Kuhusu kuzorota usimamizi katika ngazi za katikati tume inakubaliana na TUME zilizopita kwamba Tatizo hili limetokana na kuondolewa kwa kada ya utawala serikalini- Administrative cadre na kutoweka kwa utaratibu wa utawala katika usimamizi wa kazi kulikosababishwa na kuondoa mafunzo na mipango ya kuwaandaa maafisaa hao. Juhudi za kurudisha kada hii hazijafikia kiwango kinachotakiwa. Kada hii ni muhimu sana katika kumsaidia Katibu Mkuu kusimamia nidhamu,maendeleo ya wafanyakazi, matumizi ya fedha,kusikiliza malalamiko ya wananchi na utawala kwa ujumla.
Tume ya warioba ilipendekeza kuwa 293 (iv) Kuwepo kamati itakayoongozwa na Katibu Mkuu wa Rais,itakayo mshauri Rais juu ya uteuzi wa maafisa hawa na kwamba viongozi wa KISIASA WASIRUHUSIWE kupeleka mapendekezo ya watu wanaowataka kwa Rais." Hii iliandikwa mwaka 1996 wakati huo wengine tupo shule ya Msingi kama sio Sekondari; lakini uhalisia unasemaje leo hii 2021.

Nampongeza Rais wetu SSH kwa sababu anawasikiliza wataalam zaidi kuliko wanasiasa ndio maana amefanya mabadiliko ya haraka kwa Mtu aliyemteua kuwa RAS wa Simiyu, kwangu hiyo ni STRENGHTS kubwa; namwombea ujasiri na Moyo uliotulia kwa kusikiliza/"


TV/Radio/au magazeti yanaweza kuandaa kipindi cha mahojiano na Mhe Jaji Warioba kuhusu TUME YA KERO ZA RUSHWA YA 1996
Waandishi aina ya Pasco mayalla!!
 
‘‘But if you the Waswahili make that mistake, everything will come to a standstill except disco dancing, and all of you will become disco dancers,’’ he said.

‘‘This is so because the Italians have systems that work: the civil service, the parliament, the think tanks, the chambers of commerce, the security and intelligence systems, the universities and research bodies… The prime minister can go dance himself lame, but government will deliver. Not you with your failed institutions and systems,’’ he did the dramatic pause for effect. ‘‘You will all become disco dancers because you have weak, inoperative systems, and whatever the big man does and says becomes the gold standard for all.’’

Dongo jingine kwa Mtaa wa Lumumba
 
Brave indeed, why didn't he say this during disc jockey (Magu)'s error! hahahah
During the first term of Magu in Kigoda cha Mwalimu Nyerere at the University of Dar es Salaam,he said "in democracy we are back 50 years ago!"

It was not easy to say this during Magufuli era. The mzee is very brave!
 
We ukiwa na hofu ya majambazi kila anaegonga mlangoni kwako unamtokea na panga? Si utaonekana mtu wa ajabu.

Kuwa na hofu ya Magufuli aihalalishi watu kukamata na kuwafunga wasio na hatia. Ulimwengu anasema hayo yalikuwa ni maagizo ya raisi, ina maana basi Magufuli alikuwa mwehu kama ni ivyo yaani aagize watu wenye familia zao, asiowajua wakamatwe tu where is the pleasure in that even for a sadists.

Huyo ulimwengu alitakiwa kuweka walau evidence fulani alikuwa na ugomvi au ndugu wa mwanasiasa, mkandarasi, hasimu wake wa muda or anything which implicates Magufuli directly or indirectly.

Huwezi kuamka tu na kumzushia mtu uongo, contrary to the accusations za Ulimwengu kwenye sheria Magufuli alikuwa akilalamika sana mlundikano wa kesi, mahabusu na idadi ya wafungwa. Na alifanya ivyo kwa vitendo ameshawaongezea majaji mara kadhaa, alitoa kibali cha wizara kuajiri ili kuongeza speed kwenye admin za mahakama na mwaka mzima awakufanya ivyo mpaka akawasema hadharani hivi wanafahamu ni sehemu ngapi zingine serikalini zinashida ya kuajiri na ajawapa go ahead.

Sasa ni vipi Magufuli alishawishi watu kuwekwa ndani at his wilful pleasure.

Huyo Ulimwengu aache kuropoka without evidence, hizo kesi hazina uhusiano wowote na Magufuli anachuma dhambi tu huyo old reprobate.
Usihangaike na artist kama Ulimwengu. Anatengeneza scenarios zisizo na ushahidi. Ni qualitative. Mtu anasema watu wengi bila kuwataja. Kesi nyingi bila kuzitaja. Watu waliogopa bila hata takwimu. Baadaye unaona kundi kubwa la watu linaunga mkono eti kweli! Hana lolote zaidi ya historia ya Afrika na kutaja majina ya wapigania uhuru. Ila amekuwa na trend hiyo. Atakuwa vocal sana iwe ni hongo kwa rais aliyepo, amuone, amfahamu.
 
Jenerali has been blubbering over and over about Magufuli. Undeniably, one thing is for sure he has got pending unsettling grudge that won't be resolved against the departed beloved President.

I used to regard him with the highest esteem during the "Rai" days not knowing who truly he was as a person. He has been speaking ill consistently about JPM but that is the beauty of right to opinion entitled to each of us, the same right on the flip side I invoke here to paint him as a weaker personality whose writings are informed more by jealous and personal interests.
How can you deny I the obvious facts that cases were fabricated to harass his oppents, refer the dropped charges
 
This must be the dumbest story I ever heard in my life! Seriously you encourage Samia to 'demagulify' Tz!? Yoi really need sanity check oldman! Magufuly must have stepped upon your vital interests I suppose to have hate him that much! How I wish JPM could've continued to lead Tz for the next 20+ years so that villains like you would have perished in process from Tz soil, and new brand of partriotic Tanzanians would have emerged and taken root in Tz! Anyway, God allowed for our hero to depart from us and we'll sincerely be grateful for affording us with such an opportunity to be lead by such vibrant great African leader, our hero, Dr. J PM! May God grant our beloved president Hon Dr JPM an eternal peace and power in the name of Jesus Christ, amen !
May he rot in hell
 
Jenerali Ulimwengu hawakubali kabisa Hayati Mkapa na JPM. Wote wawili anazo hoja za kuwachukia. Mkapa alimfanyia unyama miaka ile.

JPM hakukubaliana kabisa na hivi vyama vya masuala ya haki za binadamu, alikwaruzana nao mara nyingi tu. Mzee Ulimwengu ni mtu wa dunia fulani ya kina Maria Sarungi na Fatuma Karume, watu wa kisasa wasio na mitazamo mikali ile ya kiafrika.
Mkuu usimfananishe Jenerali na hao watoto wa kishua, maisha yao yote wamekulia kubebwa na baba zao+ccm! Leo wanajifanya wanaharakati, hamna kitu pale
 
Mkuu usimfananishe Jenerali na hao watoto wa kishua, maisha yao yote wamekulia kubebwa na baba zao+ccm! Leo wanajifanya wanaharakati, hamna kitu pale
Sarungi na Ulimwengu ni kitu kimoja kimtazamo ingawa Ulimwengu ni mzee mwenye miaka kama 72-73.

Wote ni waunga mkono harakati (activists).
 
Yeye Jenerali ama wewe mtetezi wa unyoofu wake unaweza toa mifano ya kesi ambazo watu walifungwa kwa shinikizo la Magufuli kwa majaji kama anavyodai hapo juu?
Zaidi mimi naona yeye ndio rais wa kwanza (huenda) kwenda gerezani na kusikiliza kero za mahabusu moja kwa moja na kupelekea wengi wao kesi zao kufutwa baada ya DPP kufuata due process. Mind you hao mahabusu walikuwa gerezani miaka mingi kabla ya jpm kuwa rais.

How can you deny I the obvious facts that cases were fabricated to harass his oppents, refer the dropped charges

Hebu toa mfano wa hizo kesi alizoshinikiza watu wakafungwa..wenzako nimewauliza wanapiga porojo tu kama za twaha ulimwengu
 
Hebu toa mfano wa hizo kesi alizoshinikiza watu wakafungwa..wenzako nimewauliza wanapiga porojo tu kama za twaha ulimwengu
Mkuu,Ulimwengu ni level nyingine kabisa. Huwezi kupangua hoja zake kwa ubishi.
Wewe ndiye uliyeshindwa kuthibitisha unachopinga katika maandiko yake. Bahati nzuri Jenerali huandika kwa hoja za kweli tupu! Hanaga kuchapiachapia.
 
Magu kaua jina lake mwenyewe, kwa matendo yake maovu

Nchi ilipokuwa ilihitaji maamuzi ya mtu ambaye historia itakuja kumtambua kama mwasisi wa pili..na huwezi fanya hivyo hadi uonekane "kichaa" kwa maamuzi yako yenye manufaa ila yatakayowakasirisha baadhi na kukuita majina ya ajabuajabu kama unavyofanya wewe. Sankara mwenyewe
yjTsZF2gTaGCuiBE6qrO_TSankara.png
alisema hilo.
 
Mkuu walicheza ngoma kulingana na mpigaji alivyo taka kumbuka pia ya prof vimacho na dawa ya Corona toka Madagasca na wataalamu wa afya tena katoka katika hospitali ya taifa na mtambo wa nyungu na hao hao wasomi ndo walimuingiza chaka katika sakata la makinikia nchi hii unafiki ni mkubwa sana mkuu
Hivi tanuri la mvuke/gas chamber bado lipo Muhimbili?
 
Back
Top Bottom