Msambichaka Mkinga
JF-Expert Member
- Oct 22, 2015
- 1,649
- 2,911
Hujaelewa hoja ya Ulimwengu. Na kama wewe ni kijana basi Taifa hili huenda lilikuwa bora zaidi wakati wa hao akina Ulimwengu kuliko litakavyokuwa wakati wa vijana wa namna yako. Vijana wanatakiwa kutumia akili zao katika kutafakari na kuchambua mambo kuliko kuwa waitikiaji wa vibwagizo vya vyama au watawala.Jeneral ni mnafiki, kwa nini hakuusema ukweli uo akiwa rais, je Ulimwegu hajui km JK anakinga, au angaongea kufurahisha umma, wa wannanchi, jambo la msingi hapa, nyie wazee tuachieni nchi yetu, mlicho kifanya kinatosha ezi wa mali za nchi hii.