Malafyale
Platinum Member
- Aug 11, 2008
- 13,897
- 11,292
Ukimuondoa mwandishi wa makala Jenerali Ulimwengu na baadhi yetu wachache sana, Watanzania wengi wengine wapo wanaamini kitu ambacho hikijawahi kutokea katika historia ya siasa za dunia, nacho ni chama kilicho madarakani kwa 'mbinu' kukubali kuleta katiba mpya inayoweza kuleta haki na usawa. Kitu hiki ni kigumu!
"Tata" tunahitaji jambo hili tujadili kwa kina sana,lkn vijana hapa wao ni kujadili kuhusu Zitto na CHADEMA tu na kusahau mustakabali wao!Wala vijana hapa baadhi yao hawajui katiba bora ndiyo mkombozi wetu!
CCM hawawezi kubali serikali 3 wala katiba itakayo tishia uhai wao wa kushinda uchaguzi!Hizi za akina JK ni mbwembwe tu kutuhadaa sisi!Bunge litaikataa rasimu ya Mzee Warioba na JK ataturuka kw akauli kuwa hawezi ingilia maamuzi halali ya mhimili mwingine wa dola(Bunge)
Mark my words "omulangira"