Pac the Don
JF-Expert Member
- Feb 17, 2021
- 6,177
- 7,699
Mifano ni mingi tu ya akina Assad, Slaa Jerry, askofu Gwajima nk...nk na sasa wako kimya kabisa.
Waswahili husema Heri nusu shari kuliko shari kamili.
Mzee Ulimwengu mwangukie tu Spika Ndugai ili yaishe.
Mungu wa mbinguni awabariki sana.
cc: Pascal Mayalla
Amezungumzia Wabunge wanajipendekeza serikalini!
Jenerali ni taasisi?
Msamaha wa nini tena?. Spika amesema anatoa onyo asiendelee...kumaanisha mpaka hapo yameisha na hakuna kesi.
Ila kama Mzee Jenerali ataona bado anajisikia kutumia uhuru wake wa kutoa maoni basi ndio tutasubiri tuone.
Huu mfumo wakuwa na Spika anayetokana na jimbo siyo mzuri.Kuwe na tume maalum yakumpata Spika.Spika mjinga anapotumia vitisho kupambana na ukweli. Huyu atatamba muda mfupi sana kwasababu ana jeuri ya madaraka, lakini akitoka madarakani atapata msongo wa mawazo kwa jinsi ukweli wake utakavyowekwa hadharani.
Kwa kosa haniiiiiMifano ni mingi tu ya akina Assad, Slaa Jerry, askofu Gwajima nk...nk na sasa wako kimya kabisa.
Waswahili husema Heri nusu shari kuliko shari kamili.
Mzee Ulimwengu mwangukie tu Spika Ndugai ili yaishe.
Mungu wa mbinguni awabariki sana.
cc: Pascal Mayalla
Huyu mgalilaya wa kongwa anajitutumua kugombana na kila mtu, ni wazi kwamba bado hajamalizana na Prof. Assad, sasa anatafuta balaa kwa Jenerali Ulimwengu, Spika anakosa uadilifu sana kwa kujitutumua kwa kila jambo analolisikia.Mifano ni mingi tu ya akina Assad, Slaa Jerry, askofu Gwajima nk...nk na sasa wako kimya kabisa.
Waswahili husema Heri nusu shari kuliko shari kamili.
Mzee Ulimwengu mwangukie tu Spika Ndugai ili yaishe.
Mungu wa mbinguni awabariki sana.
cc: Pascal Mayalla
Fikiria mwenzio anatumia bakora, ilhali hasimu anayo mikono mitupu🏃.Mifano ni mingi tu ya akina Assad, Slaa Jerry, askofu Gwajima nk...nk na sasa wako kimya kabisa.
Waswahili husema Heri nusu shari kuliko shari kamili.
Mzee Ulimwengu mwangukie tu Spika Ndugai ili yaishe.
Mungu wa mbinguni awabariki sana.
cc: Pascal Mayalla
Mzee Jenerali Ulimwengu hana ugomvi na mtu. Yeye alinukuu maneno ya scavenger wa majalalani, hajakashifu mtuMifano ni mingi tu ya akina Assad, Slaa Jerry, askofu Gwajima nk...nk na sasa wako kimya kabisa.
Waswahili husema Heri nusu shari kuliko shari kamili.
Mzee Ulimwengu mwangukie tu Spika Ndugai ili yaishe.
Mungu wa mbinguni awabariki sana.
cc: Pascal Mayalla
Nani kwani yule wa zuzu....basi sawa hana lolote atulie ni zuzu tu anaongoza ma zuzuMifano ni mingi tu ya akina Assad, Slaa Jerry, askofu Gwajima nk...nk na sasa wako kimya kabisa.
Waswahili husema Heri nusu shari kuliko shari kamili.
Mzee Ulimwengu mwangukie tu Spika Ndugai ili yaishe.
Mungu wa mbinguni awabariki sana.
cc: Pascal Mayalla
Amuombe radhi kwa kosa gani! Yeye si mbunge na alichokisema ni mtazamo wake binafsi kutoka kichwani mwake, labda unataka kutuambia ni kosa kufikiri kinyume na mtazamo wa Ndugai, na mtazamo wa Ndugai si sheria ya nchi, uoga ni adui wa binaadamu.Mifano ni mingi tu ya akina Assad, Slaa Jerry, askofu Gwajima nk...nk na sasa wako kimya kabisa.
Waswahili husema Heri nusu shari kuliko shari kamili.
Mzee Ulimwengu mwangukie tu Spika Ndugai ili yaishe.
Mungu wa mbinguni awabariki sana.
cc: Pascal Mayalla
Mayalla your hopeless!Mifano ni mingi tu ya akina Assad, Slaa Jerry, askofu Gwajima nk...nk na sasa wako kimya kabisa.
Waswahili husema Heri nusu shari kuliko shari kamili.
Mzee Ulimwengu mwangukie tu Spika Ndugai ili yaishe.
Mungu wa mbinguni awabariki sana.
cc: Pascal Mayalla
Kuna Shida ?Amezungumzia Wabunge wanajipendekeza serikalini!
Ila ukimwi imeniathiri kichwani kama mwendazakeMifano ni mingi tu ya akina Assad, Slaa Jerry, askofu Gwajima nk...nk na sasa wako kimya kabisa.
Waswahili husema Heri nusu shari kuliko shari kamili.
Mzee Ulimwengu mwangukie tu Spika Ndugai ili yaishe.
Mungu wa mbinguni awabariki sana.
cc: Pascal Mayalla
Wacha woga wa kiccm wewe. Huyo andunje kwa sasa mweupe tu,alitamba enzi za yule aliyeko motoni sasa.Mifano ni mingi tu ya akina Assad, Slaa Jerry, askofu Gwajima nk...nk na sasa wako kimya kabisa.
Waswahili husema Heri nusu shari kuliko shari kamili.
Mzee Ulimwengu mwangukie tu Spika Ndugai ili yaishe.
Mungu wa mbinguni awabariki sana.
cc: Pascal Mayalla
Inamaana Yohana huyu ndio Paskali?Mayalla your hopeless!
Huyo hapo kulia. Andunje hana hoja na wala hajatajwa yeye wala hilo kusanyiko lake la mazuzu,anajishuku tu.Wakati huyo Mgogo alikuwa anashindia Uji wa Ubuyu, Jenerali alikuwa kwenye mapambano dhidi ya Wareno Msumbiji.