msumeno
JF-Expert Member
- Aug 3, 2009
- 2,827
- 1,729
Ngoja nami niulize,
Hivi Jenerali Ulimwengu ni mtanzania?
Ki asili Hapana ,, kwani vipi bi mkubwa!!!?
Ngoja nami niulize,
Hivi Jenerali Ulimwengu ni mtanzania?
Ngoja nami niulize,
Hivi Jenerali Ulimwengu ni mtanzania?
anaandikia Tanzania Daima
Siyo mtanzania;
Labda useme ameununua uraia.
Ulimwengu si mtanzania tunaanzia hapo.
hakuna alichokiandika zaidi ya kudhihirisha kuwa siyo mtanzania, hana uzalendo hata kidogo, aende CHADEMA wampe nafasi ya Tumaini Makene.
Ulimwengu anaandikia magazeti mengi ambayo ni pro opposition likiwemo gazeti la Tanzania Daima. Huko anatumia majina mengine ya bandiaKumbe wewe ni chizi.J.Ulimwengu anaandikia T.Daima?
Ni kweli kwamba JU anatokea kwa PKHuyu si ndio watu husema eti anatokea pale kwa kaka PK?? au uzee unanisumbua?
Mnyarwanda huyo, siku za hivi karibuni alikuwa nyumbani, karudi?
Usisahau kutuletea sehemu ya pili ya huu msumari wa moto...
Ili kuthibitisha kwamba Serikali inaweza kufanya mambo ya hovyo yanayoumiza nchi, sote tunajua kwamba Serikali yetu iliwahi kutoa misamaha ya kodi kwa majumba ya kamari! Unataka kujua nini zaidi kuhusu kinachowezekana na kisichowezekana serikalini.
Itaendelea...
Chanzo: Raia Mwema
Naona yuko sawa ukifuatilia logic yake ya katiba mpa na CCM, ikiongozwa na mwenyekiti wake.Kakosea tu pale alipotumia mfano wa nguruwe against Waislam.
CHADEMA mtabaki kutetea watu kama akina SLAA, ULIMWENGU, GWAJIMA n.k sndiyo size ya upeo wenu wa kufikiri. nini cha maana alichokisema ULIMWENGU hapo.
Ngoja nami niulize,
Hivi Jenerali Ulimwengu ni mtanzania?
Njaa mbaya sana. Jenerali Ulimwengu hatakaa kuisifia serikali hata siku moja
Ngoja nami niulize,
Hivi Jenerali Ulimwengu ni mtanzania?
Mnyarwanda huyo, siku za hivi karibuni alikuwa nyumbani, karudi?
hakuna alichokiandika zaidi ya kudhihirisha kuwa siyo mtanzania, hana uzalendo hata kidogo, aende CHADEMA wampe nafasi ya Tumaini Makene.
Ulimwengu si mtanzania tunaanzia hapo.
Huyu si ndio watu husema eti anatokea pale kwa kaka PK?? au uzee unanisumbua?