Upuuzi upuuzi. Dalili zipo tangu mapema na kwa sasa baadhi ya nchi zinageuka mali ya mtu/kikundi cha watu wachache kwa upuuzi upuuzi kama huu. Afrika hovyo kweli, uroho wa madaraka imegeuka fashion sasa. Huu upepo utavuma na kufika hata sehemu ambazo hatukuwahi kuzifikiria. Just wait