Mi nampenda kiba ila kiukweli kumpinga diomond ni sawa na upunguani!!.. unaanzaje kumpinga mtu kama huyo sasa kama sio ujinga?? Kiba uwezo anao ila kuna sehemu anakosea na anakosea zaid anapotaka kushindana na domo ktk kipindi hiki
Ha haaa mkuuu zoba yupii?? Au ni yule anaesaidiwa na makombo...kupewa tuzooo???
Shida sio kushindana.
Jamaa hana cha maana anachofanya mjini hapa na mbaya zaidi analazimisha kuwa juu wakati hata video inasuasua.
Mkuu hapo sasa ndio utakapojua CHIBU anajua kucheza na akili za mashabiki wake, na hii ndio silaha yake kubwa
Nenda kwenye social media za wasanii wote walioshiriki hakuna hata mmoja aliyelipa coverage yakutosha kama Chibu, yaani hapo kuanzia mapokezi , sound check na shows yenyewe kwa mtu aliyeko Nijeria anaye mfollow chibu ataamini ile ilikua show ya mtu mmoja tu........ Kwanini?
Ana kamera man wake maalamu anacheza na angle ukiziona hizo picha utajua anayepiga anajua anakenga nini
In short Chibu anajua kucheza na media kuhakikisha unajua anafanya nini, nimecheck acc ya Nature nayamoto band masikini hawajapost chochote zaidi ya matangazo watakua kirumba
Unajua mtu anapoina kwenye social media yako unapost unajaza watu vile anaamini wewe ni bora na hata muandaa tamasha anavutika kukuita maana anaamini unauzika akiona tu post zako
Kilichopo ni kwamba fursa zilizopo wasanii hawazitumii mwenzao akizitumia wanaanza majungu
Ukweli usiopingika ni kwamba Chibu alidai alipwe pesa kwa kila tiketi itakayouzwa na si kumlipa kama walivyolipwa akina h baba
Yaani kama tiketi ni buku 5 basi yeye anataka buku mbili au tatu, fanya mara elfu60+ utapata idea anaweza kuwa amevuta ngapi
Hii inamfanya nayeye kuwa muandaaji na anapata faida kubwa zaidi kuliko kulipwa tu, una dhani kwanini amejua idadi ya tiketi na akaifurahia?
Huyohuyo mkuu
Hakuna kitu hapo kwanza mashabiki wameingia bure wote tumeipata ishu kamili kitu kiba bana
Hivi kasema au kaandika?? Hata hivyo Mbona hajakose hapo?? Na wewe unashindwa nini kuandika 'sio'??
mbona kama kama diamond anatumia garama kubwa sana kuulinda umaarufu wake je kiuchumi kweli ataweza kulingana hata chamelion kweli?unawexa kuta alikiba anamzidi mkwanja benki maana sifa nyingi sana na anatumia pesa sana kuhonga watu wa media hadi mashabiki
Dah! Kweli aisee manake hata Rwanda ilikuwa hivyo hivyo... kulikuwa na wasanii kibao tu lakini watu wanazusha kwamba Diamond alijaza show, si unaona hapa:Ila msisahau hiyo shoo haikuwa ya daimondo peke yake....mkaibaka!!!!
Hbaba alikuwepo
Nature wa sintah alikuwepo
Yamoto band walikuwepo
Mi nampenda kiba ila kiukweli kumpinga diomond ni sawa na upunguani!!.. unaanzaje kumpinga mtu kama huyo sasa kama sio ujinga?? Kiba uwezo anao ila kuna sehemu anakosea na anakosea zaid anapotaka kushindana na domo ktk kipindi hiki
Manin.. Ally Kibaka haniziki hata mm kwa mkwanja na life langu la kubangaiza. Ana nini yule
Diamond ana kipaji kikubwa ila ana fanikiwa kwa vile kwanza si mchoyo ame ajiri watu kila sehemu inayo itajika anaishi na wenzie kama familia moja pia ana juhudi katika na usubutu wa kufanya mambo makubwa pasipo kulizika
Huyohuyo mkuu
View attachment 254134
View attachment 254136
Kwa mujibu wa Diamond tiketi zaidi ya elfu60 ziliuzwa uwanja ulijaa full
Dah! Kweli aisee manake hata Rwanda ilikuwa hivyo hivyo... kulikuwa na wasanii kibao tu lakini watu wanazusha kwamba Diamond alijaza show, si unaona hapa:
View attachment 254288
The concert had a large number of spectators
Although Diamond sings most of the songs in playback, it made a great satisfaction to the spectators to his movements that proved his preparations for this concert and the intense joy of the spectators shows the love that Rwandans has to his music.
View attachment 254290
Mr. Diamond Platnumz on the stage
View attachment 254291
Fans showed how much they have been waiting for him with great love
View attachment 254292View attachment 254292
Diamond with his dancing group were spectacular
View attachment 254293
After repeating this song several times, Diamond called fans on thé stage and they danced "Number One" hit
Mara eheee, haya ndo kwanza yanaanza kutokea:
View attachment 254294
View attachment 254295
King James sang last and he had a little number of fans because after the performance of Diamond they began to go back home!!!!
Hayo maneno ya kizungu hakuna langu hata moja, kama ni uzushi ni Wanyarwanda wenyewe, hawa hapa!!!
Kambi pinzani tumewapwelepweta
.
kama anauwezo wa kuwanunua hao watu wote ninaowaona hapo basi huyu dogo ni shidreeeeee!! kajamaa ni kabillionea basiii, coz hao watu hapo wapo toka saa 6 mchana, mond kapanda kucheck sound watu wakapagawa mbaya, wakamsubiri more tha 12 hours mpaka alipopanda @ 8 usiku hakuna aliyekuwa amejisogeza mahali, so if that patient its was for money basi walilipwa ghali saaaanaaaaaaaa!! haiwezekani iwe ni kwa kupewa tiketi tuu wakamsubiri mtu wasiompenda that long!!!? mnaosema hao watu hapo uwanjani wamenunuliwa try to relate! other wise you are just haters as we already knows you!Team pinzani wamesema hizo tikiti ni za bure mashabiki walinunuliwa. Hata ile party walisema pia walivaiwa tikiti za bure.
Nimewakilisha tu. Ila mie naupenda mziki wa domo. Whatever he does in his private time i dont freaking care