Jela miaka 30 kwa kumbaka mpenzi wake

Jela miaka 30 kwa kumbaka mpenzi wake

mugah di matheo

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2018
Posts
6,334
Reaction score
12,466
Jamaa moja aitwaye Boniphas (26) amehukumiwa kwa kumbaka mpenz wake

Aidha akisoma huku hiyo hakimu,hakimu hezro Mwakenja wa mahaka ya hakimu mkaazi wa temeke amemtaka mtuhumiwa kulipa fidia ya tsh 500,000 na viboko 12

Mwathiriwa wa kitendo hicho jina linahifadhiwa


Chanzo: Mwananchi
 
Mpenzi ana umri gani?
kwahiyo kosa la kubaka kutendeka kunategemea umri?
Inawezekana huyo anayeitwa 'mpenzi' ni underage,Kama ni wapenzi watu wazima watakuwa walipishana muda wa kupeana tu,huyu alitaka yule kasema kachoka jamaa kaamua kufosi,vinginevyo kuna visa hapo
Our penal laws pertaining to newer offences have not been updated and unfortunately under section 130(2)(a) of the Penal Code [Cap.16 R.E 2019] a man does not require consent of his wife in order to have sexual intercourse with her unless the two are separated at the time of sexual intercourse.

Hence if you are not separated with your wife, and you forcefully have intercourse with her, that cannot amount to rape in Tanzania.
from fb attorney

Kwa mpenzi nadhani ni rape
 
kwahiyo kosa la kubaka kutendeka kunategemea umri?

Our penal laws pertaining to newer offences have not been updated and unfortunately under section 130(2)(a) of the Penal Code [Cap.16 R.E 2019] a man does not require consent of his wife in order to have sexual intercourse with her unless the two are separated at the time of sexual intercourse.

Hence if you are not separated with your wife, and you forcefully have intercourse with her, that cannot amount to rape in Tanzania.
from fb attorney

Kwa mpenzi nadhani ni rape
Ok, acha sheria ichukue mkondo wake
 
Habari gani inaletwa kihuni hivi? Na unatofautishaje kubakwa na consensual sex kwa watu amabao ni wapenzi? Otherwise kila mtu akiombwa pesa baada ya sex na akakataa kutoa anasukumiziwa kesi kama hiyo na ushahidi wa tendo upo?
 
Jamaa moja aitwaye Boniphas (26) amehukumiwa kwa kumbaka mpenz wake

Aidha akisoma huku hiyo hakimu,hakimu hezro Mwakenja wa mahaka ya hakimu mkaazi wa temeke amemtaka mtuhumiwa kulipa fidia ya tsh 500,000 na viboko 12

Mwathiriwa wa kitendo hicho jina linahifadhiwa


Chanzo: Mwananchi
Hatakuwa mwanaJF huyu? Kama kasikiliza ya humu kwamba wanawake hawakubali mpaka uwalazimishe, basi yamemfika.
 
Habari gani inaletwa kihuni hivi? Na unatofautishaje kubakwa na consensual sex kwa watu amabao ni wapenzi? Otherwise kila mtu akiombwa pesa baada ya sex na akakataa kutoa anasukumiziwa kesi kama hiyo na ushahidi wa tendo upo?
HiVi

Hivi shahidi wa hii kesi ni nani?
 
Inawezekana huyo anayeitwa 'mpenzi' ni underage,Kama ni wapenzi watu wazima watakuwa walipishana muda wa kupeana tu,huyu alitaka yule kasema kachoka jamaa kaamua kufosi,vinginevyo kuna visa hapo
Kila mwanamke akiamua kwenda kushtaki sijui kama kuna mwanaume atabaki huku mtaani...
 
Hii taarifa haijakamilika kabisa alafu ukiangalia hukumu mtu anataka 500k huyo bibie alikuwa anashida na hela usikute alijipeleka ghetto mwenyewe.
 
Back
Top Bottom