TAI DUME
JF-Expert Member
- Feb 20, 2014
- 8,846
- 23,087
Kwani hapo walipofika sio mbali?Hongeren naona na kaizer chiefs mmempa dozi yake
Kwani hapo walipofika sio mbali?Hongeren naona na kaizer chiefs mmempa dozi yake
Tutapindua meza ya zege ya Kaizer na tutasonga mbele,Dunia ya soka itashangaa.Hizi kauli hazikua hivi before
Wale Wazulu tutawaliza tu watake wasitake. Na tukiwatoa lazima watopolo wote muinamishweUle muda ndio huu sasa
Sio mbali kwasababu alishawahi kufikia hapo. Wakivuka hapo ndio itakuwa ni mbali kwasababu wamesogea hatua nyingine zaidi ya ile ya mwanzoniKwani hapo walipofika sio mbali?
Nasoma comments zangu mwenyewe nafsi inaniuma, ni km nililichuria chama langu pendwa..Mapenzi yanatuzidia, ni kweli wachambuzi wengi wabongo ni weupe, ila katika hili kuna ukweli, hasa ukiwa ni mtizamaji mzuri wa mpira.
Simba tuna tatizo pale nyuma.
Mpira sio mchezo wa chumbani, unachezwa hadharani na kila mtu anaona.
Nawashauri ndugu zangu game zijazo tutizame hili jambo kwa makini kuna mambo mtang'amua
Sent from my COR-AL10 using JamiiForums mobile app
Makosa yametugharimu saana haya.Yuko sahihi, mara nyingi ninapotizama mpira kwenye vibanda hasara, huwa nawaambia watu, tuna tatizo la marking hasa kwenye robo yetu.
Utakuta Kapombe kaenda, kachelewa kurudi, mtu yuko nyuma ya mabeki wawili wa kati peke yake. Mipira ya faulo na kona ndio kabisa, tunategemea mpigaji kichwa akosee au golikipa atusitiri, hakuna mtu na mtu.
Hili kama tusiporekebisha bado kazi tunayo.
Sent from my COR-AL10 using JamiiForums mobile app
Mimi sikupenda sana simba ipangwe na Kaizer Chiefs kwa sababu ya timu kufanana sana aina ya mpira zinaocheza hata kasi pia na set pieces niliamini wangetupa wakati mgumu sana.Makisa yametugharimu saana haya.
Ndio basi tena, kuamgalia msimu ujao sasa.Mimi sikupenda sana simba ipangwe na Kaizer Chiefs kwa sababu ya timu kufanana sana aina ya mpira zinaocheza hata kasi pia na set pieces niliamini wangetupa wakati mgumu sana.
Tungepangwa na CL Belouzdad au MC Alger sasa hivi tungekuwa tunachekelea Semi final.
Ila ndiyo hivyo maombi ya wengi yalikuwa Kaizer Chiefs.