NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,286
- 24,003
Jeff Lea anajafanya anajua lakini ajui.Mpaka sasa simba hajaruhusu wavu wake kutikiswa..
Jeff Lea anajafanya anajua lakini ajui.Mpaka sasa simba hajaruhusu wavu wake kutikiswa..
Anajua kuwa mkweli tu ila kukosea napo kupoJeff Lea anajafanya anajua lakini ajui.
Huwezi kuwa Utopolo ukaujua mpira.Baada ya Simba kupoteza mechi ya pili na Ruvu shooting Walianza kusema kwa kiburi eti kila mtu ashinde mechi zake. Leo wanaongoza ligi lkn ndiyo timu isiyojiamini kuliko timu ZOTE.Jeff Lea anajafanya anajua lakini ajui.
Tena uzi huu tutautumia kama reference wakati simba akikutana na vipigo vizito kwenye ligi ya mabingwa
Hebu rudia tena huu Utopolo wakoAkiongea leo asubuhi katika kipindi cha michezo cha Efm, mchambuzi nguli wa mpira Jeff Lea asema kwa safu ile ya ulinzi wa Simba dhidi ya Dodoma Jiji jana, mabeki wao wameonesha udhaifu mkubwa sana hivyo kama watakutana na timu yenye washambuliaji wazuri basi hawatafiki mbali katika ligi ya mabingwa Afrika.
Mimi namuunga mkono kwa 100% kwa mbaaaali naona mtu akienda kuchezea goli 5 kwa kila mechi ya ugenini.
Msijenge chuki, fanyieni kazi mapungufu yenu Simba
Njooo ufanye reference MkuuTena uzi huu tutautumia kama reference wakati simba akikutana na vipigo vizito kwenye ligi ya mabingwa
Ule muda ndio huu sasaTena uzi huu tutautumia kama reference wakati simba akikutana na vipigo vizito kwenye ligi ya mabingwa
Ule muda ndio huu sasa
Hadi Sasa Ni 4 washachezeaAkiongea leo asubuhi katika kipindi cha michezo cha Efm, mchambuzi nguli wa mpira Jeff Lea asema kwa safu ile ya ulinzi wa Simba dhidi ya Dodoma Jiji jana, mabeki wao wameonesha udhaifu mkubwa sana hivyo kama watakutana na timu yenye washambuliaji wazuri basi hawatafiki mbali katika ligi ya mabingwa Afrika.
Mimi namuunga mkono kwa 100% kwa mbaaaali naona mtu akienda kuchezea goli 5 kwa kila mechi ya ugenini.
Msijenge chuki, fanyieni kazi mapungufu yenu Simba
Aisee!!Tena uzi huu tutautumia kama reference wakati simba akikutana na vipigo vizito kwenye ligi ya mabingwa
Hizi kauli hazikua hivi beforeRobo fainali ni mbali sana Simba alipo hivi sasa.
Hongeren naona na kaizer chiefs mmempa dozi yakeMwambie huyo Jeff wanasimba tunadema hivi, kila mgonjwa na dozi yake. Ile ilikuwa dozi ya Dodoma jiji kulingana na ugonjwa wao.
Leo tuanze na wewe kwanzaVipi Jeff Lea tumpe Panadol au Hedex?