Jeff Lea: Simba hamfiki mbali kwa ulinzi ule

Jeff Lea anajafanya anajua lakini ajui.
Huwezi kuwa Utopolo ukaujua mpira.Baada ya Simba kupoteza mechi ya pili na Ruvu shooting Walianza kusema kwa kiburi eti kila mtu ashinde mechi zake. Leo wanaongoza ligi lkn ndiyo timu isiyojiamini kuliko timu ZOTE.

NB:
Ukiona utopolo anaongoza ligi ujue Simba hajacheza. Na hili wanalijua vizuri. Ni suala la muda tu mwenye mamlaka na nafasi ya kwanza anakuja very very soon.
 
Akiongea leo asubuhi katika kipindi cha michezo cha Efm, mchambuzi nguli wa mpira Jeff Lea asema kwa safu ile ya ulinzi wa Simba dhidi ya Dodoma Jiji jana, mabeki wao wameonesha udhaifu mkubwa sana hivyo kama watakutana na timu yenye washambuliaji wazuri basi hawatafiki mbali katika ligi ya mabingwa Afrika.

Mimi namuunga mkono kwa 100% kwa mbaaaali naona mtu akienda kuchezea goli 5 kwa kila mechi ya ugenini.

Msijenge chuki, fanyieni kazi mapungufu yenu Simba
Hebu rudia tena huu Utopolo wako
 
Tuliwaambia kabla ya droo jamaa walikuwa wanaomba kukutana na simba coz ndo underdog kuliko wote.

Ila tukabezwa humu na kuitwa majina ya kila aina. Wakati tulikuwa tunawafahamisha yanayoripotiwa kwenye vyombo vya habari huko South Africa
 
Akiongea leo asubuhi katika kipindi cha michezo cha Efm, mchambuzi nguli wa mpira Jeff Lea asema kwa safu ile ya ulinzi wa Simba dhidi ya Dodoma Jiji jana, mabeki wao wameonesha udhaifu mkubwa sana hivyo kama watakutana na timu yenye washambuliaji wazuri basi hawatafiki mbali katika ligi ya mabingwa Afrika.

Mimi namuunga mkono kwa 100% kwa mbaaaali naona mtu akienda kuchezea goli 5 kwa kila mechi ya ugenini.

Msijenge chuki, fanyieni kazi mapungufu yenu Simba
Hadi Sasa Ni 4 washachezea

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Walimtukana kila aina ya tusi hawa wamatopeni sasa wamebaki kimya.

Tatizo Manara anawaaminisha vitu ambavyo havipo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom