Jeep ya 2010 inauzwa Chap Chap

Jeep ya 2010 inauzwa Chap Chap

zeus47

JF-Expert Member
Joined
Jul 27, 2014
Posts
233
Reaction score
309
Natarajia kuhama kikazi nje ya nchi na familia yangu kwa hiyo nauza gari langu kwa bei ya Million 25
Hizi ni details za gari..
Jeep 2010 limited edition.
Imported to Tanzania in 2012
Mileage: 22,000km
240km speed
Automatic na semi manual
4WD
Maelewano yapo.. Halina tatizo gari. Ruksa kuleta fundi kulikagua
1471466382685-jpg.383470
1471466569505-jpg.383471
1471466618744-jpg.383472
1471466646384-jpg.383473
 
Mkuu tairi la mbele kushoto lipo low air au flat tire? Pia unaweza kuweka pic za ndani ya gari tu kaona interior design yake.
 
Bei kubwa ukizingatia na no ya Gari ya zamani sana
Ukiendelea kupunguza nitafute
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom