pirates lil
JF-Expert Member
- Jun 14, 2016
- 958
- 915
Poleeee
nakutafuta kiongozi.Haikuwa busara kumfanyia hivyo ulivyomfanyia mbele za watu.
Kama hukufurahishwa na mavazi yake ulitakiwa uzuge tu muda huo ukiwa na rafiki zako, halafu baadae mkiwa wenyewe wawili tu au over the phone (kama hamko karibu) umueleze sasa kuwa alikuaibisha na style ya uvaaji wake. Na ungechukua opportunity hiyo hiyo kumueleza expectations zako kwake. Kipi hupendi na kipi unapenda.
Kama ni mara ya kwanza, sijaona kosa la kuvunja uchumba hapo mkuu. Malizeni tofauti zenu na peaneni miongozo ya jinsi mnavyotaka muishi. Kama anakupenda basi atabadilika. Masikini binti wa watu si ajabu alijua akivaa hivyo alivyovaa mchumba wake utajiona fahari kweli mbele ya washkaji zako.
Shida ya wanaume wa mikoani. Full complications.
ndio maana ndoa zetu zinadumu, hata hivyo nimempata ambaye nitamfundisha jinsi ninavyotaka awe na amekubali.Shida ya wanaume wa mikoani. Full complications.
naomba ni pm namba zake mtu wanguYaani umepatia kabisa ila yeye alikuwa na paja la haja hadi marafiki wakaguna!!
Hii NO!Wasukuma inabidi muoane wenyewe kwa wenyewe tu kwa kweli. Just kidding.
![]()
Ilikuwa hivi, au?