Kuna wimbo mmoja wa dansi, wa siku nyingi kidogo, sehemu ya maneno ni "ikiwa majungu ni mtaji yakaufanya utarike, ikiwa majungu ni biashara itakufanya ununuliwe. Ikiwa unaonaelimu ni ghali jaribu ujinga....".
Naomba kujua: - unaitwaje?; - umeimbwa na kundi gani la dansi?; na - nawezaje kuupata kwa niia rahisi?
Naomba kujua: - unaitwaje?; - umeimbwa na kundi gani la dansi?; na - nawezaje kuupata kwa niia rahisi?