Emanuel Makofia
JF-Expert Member
- Jan 5, 2010
- 3,832
- 630
Bulombora Kigoma1983 Jasnuary - December
Bulombora Kigoma1983 Jasnuary - December
92 chekechea hata rais wa nchi sikujua anaitwa nani!
Mkuu nimesema kama hupo ni PM mkuu!Naunaitwa nani mkuu nikwambie mimi ninani katika hiyo picha!Tuko wengi sana,huyu hapa ni mimi jirani yangu ni........... hapana atjitaja yeye.
Mkuu hapo kwenye Red Umme gani huo??Simo.......mimi nilikuwa Operesheni Kambarage 832 KV
Mamii Preta hata wewe wakunizunguka??za hapo ulipo?hongereni nasikia mmekata kifaa kipwa mkakikwangua magamba yote!!Namkakipa kombati safi sana hongereni!!Kwa juhudi zako nasikia!mimi nipo....wa kwanza kulia waliosimama......
ulikuwa unasemaje.......?
Hapana mkuu hii kitu ya Atown ndani ya Oljoro mkuu!Itakuwa ni wapiganaji wa Kambi ya JKT Mgambo, kuna sura za jamaa zangu naziona kwenye hili photo.
1983 January - December
Mwambie huku kuna mkubwa mwenziyo anakutafuta!!Ngoja nikamwambie ba'mdogo nimeona picha yake Jf anatafutwa!
Marahaba!92 chekechea hata rais wa nchi sikujua anaitwa nani!