Je, wewe ulijiandaa kwenye mahusiano?

Je, wewe ulijiandaa kwenye mahusiano?

ha ha ha inaweza ikapotea kabisa na isionekane
🤣🤣🤣🤣🤣haiwezi kupotea bwana,ila mazoezi lazima ifanye kwa afya lakini🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️
 
🤣🤣🤣🤣🤣haiwezi kupotea bwana,ila mazoezi lazima ifanye kwa afya lakini🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️
ha ha ha huyo wa kufanya naye mazoezi anapatikanaje?
 
Naamka kuna siku najikuta nipo katika mahusiano kuna siku naamka najikuta sipo ktk mahusiano
Wengi tunaingia kwenye mahusiano kutokana na misukumo mbalimbali, mfano:- kupata mwenza, tamaa za kimwili, kuongeza kipato, kuigana n.k

Hii hali imepelekea wanajamii kuhamasika, na kila mmoja kutafuta mahusiano bila kuangalia ukomavu wa muhusika, na mwisho wa siku kuleta changamoto katika mahusiano hayo.

Ndio maana mahusiano mengi huvunjika, kwa sababu waliopo kwenye mahusiano hawakujiandaa.

Je, wewe ulijiandaa kwenye mahusiano?

View attachment 1447895

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom