Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 37,156
- 55,656
Wengi tunaingia kwenye mahusiano kutokana na misukumo mbalimbali, mfano:- kupata mwenza, tamaa za kimwili, kuongeza kipato, kuigana n.k
Hii hali imepelekea wanajamii kuhamasika, na kila mmoja kutafuta mahusiano bila kuangalia ukomavu wa muhusika, na mwisho wa siku kuleta changamoto katika mahusiano hayo.
Ndio maana mahusiano mengi huvunjika, kwa sababu waliopo kwenye mahusiano hawakujiandaa.
Je, wewe ulijiandaa kwenye mahusiano?
Hii hali imepelekea wanajamii kuhamasika, na kila mmoja kutafuta mahusiano bila kuangalia ukomavu wa muhusika, na mwisho wa siku kuleta changamoto katika mahusiano hayo.
Ndio maana mahusiano mengi huvunjika, kwa sababu waliopo kwenye mahusiano hawakujiandaa.
Je, wewe ulijiandaa kwenye mahusiano?