Melki the Storyteller
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 5,699
- 9,778
Leo naomba kulizungumzia hili suala kama ifuatavyo:
Kwenye challenge ya NoFap wanaume tunajitutumua kuhakikisha kuwa hakuna ngono wala punyeto, lakini kiuhalisia watu wanaumia sana na kupitia wakati mgumu usioelezeka. Wengine huchukua hatua ya kujichanganya na watu wengine ili kuepuka kupiga punyeto! Utawaskia wakipeana moyo na kuhesabiana siku . Halikutakiwa kuwa jambo zito kiasi hicho!
Ulikuwa ni utangulizi tu. Kama unapitia haya yafuatayo, jua tu hapo hakuna mwanaume:
1. Je, unapandisha hisia za ngono kabla ya kupandisha mnara hewani? Yaani unahisi kule kutekenywa tekenywa ilhali uume haujajaa? HAKUNA MWANAUME HAPO
2. Unasimama njiani au kuwa karibu na mwanamke sehemu iliyo wazi kwa muda wa kuanzia dakika moja pasipo kuhisi damu inaujaza uume taratibu? Hata kama mnaongea story za kawaida tu? HAKUNA MWANAUME HAPO
3. Unadindisha kwa kutazama picha za wakina dada kwenye mitandao ya kijamii au picha za akina dada watupu wa kirumi? HAPO HAKUNA MWANAUME
4. Unahisi maumivu ya kichwa unapotazama video za ngono, baada ya kupiga punyeto au unapomuona mwanamke akikatiza barabarani? HAPO HAKUNA MWANAUME
5.Haipiti wiki bila kupiga punyeto? Na punyeto yenyewe ni ile ya kuhisi manii zimekuzidia kwenye korodani hivyo kuanza kukutekenya? HAPO HAKUNA MWANAUME
6.Unasimamisha pale unapofanya imagination (fikra) za kuwa unafanya mapenzi? HAPO HAKUNA MWANAUME
7. Muulize mkeo au mpenzi wako kuwa wakati mkiwa mmelala, akiutazama uume wako kwa kuukazia macho huwa unasimama wenyewe hata kama ukiwa umelala fofofo?
Ziada: Unaweza kumgundua mwanaume au mwanamke anaepiga punyeto kwa kumtazama
Nikuache na hizo tafakari, nitakuja kuendelea kutoa somo kuhusiana na namna gani ya kurejea uanaume
Kwenye challenge ya NoFap wanaume tunajitutumua kuhakikisha kuwa hakuna ngono wala punyeto, lakini kiuhalisia watu wanaumia sana na kupitia wakati mgumu usioelezeka. Wengine huchukua hatua ya kujichanganya na watu wengine ili kuepuka kupiga punyeto! Utawaskia wakipeana moyo na kuhesabiana siku . Halikutakiwa kuwa jambo zito kiasi hicho!
Ulikuwa ni utangulizi tu. Kama unapitia haya yafuatayo, jua tu hapo hakuna mwanaume:
1. Je, unapandisha hisia za ngono kabla ya kupandisha mnara hewani? Yaani unahisi kule kutekenywa tekenywa ilhali uume haujajaa? HAKUNA MWANAUME HAPO
2. Unasimama njiani au kuwa karibu na mwanamke sehemu iliyo wazi kwa muda wa kuanzia dakika moja pasipo kuhisi damu inaujaza uume taratibu? Hata kama mnaongea story za kawaida tu? HAKUNA MWANAUME HAPO
3. Unadindisha kwa kutazama picha za wakina dada kwenye mitandao ya kijamii au picha za akina dada watupu wa kirumi? HAPO HAKUNA MWANAUME
4. Unahisi maumivu ya kichwa unapotazama video za ngono, baada ya kupiga punyeto au unapomuona mwanamke akikatiza barabarani? HAPO HAKUNA MWANAUME
5.Haipiti wiki bila kupiga punyeto? Na punyeto yenyewe ni ile ya kuhisi manii zimekuzidia kwenye korodani hivyo kuanza kukutekenya? HAPO HAKUNA MWANAUME
6.Unasimamisha pale unapofanya imagination (fikra) za kuwa unafanya mapenzi? HAPO HAKUNA MWANAUME
7. Muulize mkeo au mpenzi wako kuwa wakati mkiwa mmelala, akiutazama uume wako kwa kuukazia macho huwa unasimama wenyewe hata kama ukiwa umelala fofofo?
Ziada: Unaweza kumgundua mwanaume au mwanamke anaepiga punyeto kwa kumtazama
Nikuache na hizo tafakari, nitakuja kuendelea kutoa somo kuhusiana na namna gani ya kurejea uanaume