Je, wewe huwa unavutiwa na nini?

Je, wewe huwa unavutiwa na nini?

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
37,347
Reaction score
56,075
Kila mmoja anasehemu yake anayovutiwa kwa mwenzake;mi huvutiwa sana na chura ya asili iliyojazia na sura inayovutia....nikiona kiumbe wa namna hiyo huwa nachanganyikiwa kabisa.Je wewe huwa unavutiwa na nini?
 
Ngoja niweke kambi hapa.
Mimi navutiwa na manyonyo yani hata akiwa na sura ya baba English figure ila akiwa na boobs za maana huwa mafaili yananivurugika.
Ngoja wenye hizo mali waje
 
Skinny Girls Me wataniua wallah ila sio wale ambao ni "too skinny" yani awe na kitako cha saiz ya kati, sura nzuri chuchu saa sita. Yani huwa nikiwaona napata blur balaaaa
ha ha ha ha ha
 
Back
Top Bottom