Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,469
- 17,585
Kuna wengine mtakuja zikwa na halmashauri hakuna cha cv wala nini unafukiwa tu
Ahaaajah huyo atakuwa johnthebaptistKuna wengine mtakuja zikwa na halmashauri hakuna cha cv wala nini unafukiwa tu
Atakuwa amekufa lakini sidhani kama atakubali.Ataamka na kugomea mazishi yake.Ahaaajah huyo atakuwa johnthebaptist
😂😂😂Alizaliwa Akafa😬sekunde moja
Ata kama ikichukua sekunde moja, utakufa, utazikwa, utaozwa then kama utakutana na moto wa jehanamu.Kuna jamaa nimekutana naye mtaani, akasema ya kuwa, kusoma sana pamoja na kufanya kazi sehemu nyingi nyingi, kunasababisha CV ya mazishi kuwa ndefu.
Akimaanisha CV ya mtu aliyesoma sana na kufanya kazi sehemu mbali mbali inakuwa na kurasa nyingi, na kupelekea usomwaji wa CV hiyo kwenye mazishi kuchukua muda mrefu hata lisaa limoja.
Je, wewe CV yako ya mazishi, itachukua dakika ngapi kusomwa?
Hata kama cv Ina kurasa 500 ukifa umekufa tu hiwezi kurudi,Bora mbwa aliye hai kuliko Simba aliyekifa.Kuna jamaa nimekutana naye mtaani, akasema ya kuwa, kusoma sana pamoja na kufanya kazi sehemu nyingi nyingi, kunasababisha CV ya mazishi kuwa ndefu.
Akimaanisha CV ya mtu aliyesoma sana na kufanya kazi sehemu mbali mbali inakuwa na kurasa nyingi, na kupelekea usomwaji wa CV hiyo kwenye mazishi kuchukua muda mrefu hata lisaa limoja.
Je, wewe CV yako ya mazishi, itachukua dakika ngapi kusomwa?
Mimi nilisema nikifa nizikwe tu, cv wakati wa mazishi inasaidia niniKuna jamaa nimekutana naye mtaani, akasema ya kuwa, kusoma sana pamoja na kufanya kazi sehemu nyingi nyingi, kunasababisha CV ya mazishi kuwa ndefu.
Akimaanisha CV ya mtu aliyesoma sana na kufanya kazi sehemu mbali mbali inakuwa na kurasa nyingi, na kupelekea usomwaji wa CV hiyo kwenye mazishi kuchukua muda mrefu hata lisaa limoja.
Je, wewe CV yako ya mazishi, itachukua dakika ngapi kusomwa?
Ukiandika wosia wako kwamba unataka ifanyiwe cremation itafanyika mkuu wala haina shida andikaKuna kabila la watu kule Tibet,mtu akifa mwili wake wanaupeleka mlimani na kuuacha huko
Wakishauacha kisha wanakuja ndege walao nyama wanautafuna mpaka unabaki mifupa
Wale ndege wanaaminika ni malaika
Hivyo wanapouafuna mwili na kisha kupaa juu agani inaaminika kuwa eti wanaruka na roho ya marehemu na kuipeleka mbinguni
We subiria risala ndefu kama ya Magufuli
Ukristo umejaà unafiki aisee
Mimi ingekuwa amri yangu itaheshimiwa nikifa ningehusia kwenye wosia wangu wanichome moto badala yakunitembeza wakiniuzisha sura kwa kisingizio cha kuniaga
Wengi huwa wanajitokeza kumdai marehemu kuliko wale marehemu aliokuwa anawadaiHayo ya CV ni nyie mliosoma sisi tunauliza marehemu anayemdai awasiliane na bwana X, km unadaiwa na marehemu muone bwana X pia asante.
Waliona hakuna umuhimu
Itakuwa na vipengele vipi?Nadhani nitaandika historia ya dunia cv yangu kusomwa muda mrefu
Ni mbwembwe tuMimi nilisema nikifa nizikwe tu, cv wakati wa mazishi inasaidia nini
Kwa nini hawaisomi?Mi ni Muislam haitasomwa Cv yangu