fikirikwanza
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 7,452
- 3,073
Je Kwanini PINDA HAKUMWAMBIA RAIS KUHUSU MADAI YA WABUNGE KUWA PM PIA AJIHUZURU???
Jamani Pinda ni kweli bado anaamini ndo mTZ anayefaa kuwa PM ktk hali ambayo mawaziri wanawajibishwa na yeye kiongozi mkuu anabaki????
Kwa nin katika maelezo yake hakusema kuhusu kumfikishia ujumbe rais juuya wabunge kudai pia awajibike? au hayo hakuyasikia??
Je kuendelea na PINDA ambaye baadhi ya wabunge wamesema wazi kabisa amepinda,kuna tija kwa taifa???
Je, sio sahihi SPIKA kuongea na JK kuhusu matakwa ya WABUNGE juu yaPINDA kuachia ngazi???
Makosa ya Mawaziri ndo hayo hayo ya PINDA, mbona ameshindwa kusimamia serikali ndo kusababisha makosa kama haya kutokea mara kwa mara, si nivma naye aombe kutua huo wadhifa anaouita mzigo????
Nawasilishaa
Jamani Pinda ni kweli bado anaamini ndo mTZ anayefaa kuwa PM ktk hali ambayo mawaziri wanawajibishwa na yeye kiongozi mkuu anabaki????
Kwa nin katika maelezo yake hakusema kuhusu kumfikishia ujumbe rais juuya wabunge kudai pia awajibike? au hayo hakuyasikia??
Je kuendelea na PINDA ambaye baadhi ya wabunge wamesema wazi kabisa amepinda,kuna tija kwa taifa???
Je, sio sahihi SPIKA kuongea na JK kuhusu matakwa ya WABUNGE juu yaPINDA kuachia ngazi???
Makosa ya Mawaziri ndo hayo hayo ya PINDA, mbona ameshindwa kusimamia serikali ndo kusababisha makosa kama haya kutokea mara kwa mara, si nivma naye aombe kutua huo wadhifa anaouita mzigo????
Nawasilishaa