Omulangi
JF-Expert Member
- Feb 12, 2008
- 1,036
- 265
Inasadikika huwezi kudanganya watu wote kwa muda wote. Hadi sasa Kagame na RPF wamefanikiwa kudanganya ulimwengu wote kwa miaka kadhaa. Hata lini ulimwengu utakkubaliana na fix hilo sielewi! Jiulize wakati Habyalimana na Ndadaye wanauwa tayari RPF walishakamata uwanja wa ndege Kigali na wakafanikiwa kuangusha ndege ya rais. Baada ya hapo serkali ikachanganyikiwa na mauaji ya ovyo yakaanza.
Thinkers wa nyakati zetu kuna vichwa na fikiri vizuri. Tunajua Wahutu hawana historia ya kusoma, wengi wao ni watu wa kufanya kazi kwa mikono wakiwatumikia wengine. Wachache waliokuwa wasomi ndio hao wanaandamwa na kesi za genocide popote walipo. Mioyo ya wengi inaugua na uchungu wao ni mwingi si kwa watusi tu bali kwa jinsi dunia isivyowaelewa. Je huu ujanja wa kuwahi polisi watusi waliotumia wameutumia? Dunia inakubaliana na watusi kwa ajili ya utaaalamu wao wa lobbying na diplomacy?
Wale waliopata kutembelea Rwanda sasa jiulize hivi kweli amani iliyopo huko ni ya kweli au cosmetic?
Thinkers wa nyakati zetu kuna vichwa na fikiri vizuri. Tunajua Wahutu hawana historia ya kusoma, wengi wao ni watu wa kufanya kazi kwa mikono wakiwatumikia wengine. Wachache waliokuwa wasomi ndio hao wanaandamwa na kesi za genocide popote walipo. Mioyo ya wengi inaugua na uchungu wao ni mwingi si kwa watusi tu bali kwa jinsi dunia isivyowaelewa. Je huu ujanja wa kuwahi polisi watusi waliotumia wameutumia? Dunia inakubaliana na watusi kwa ajili ya utaaalamu wao wa lobbying na diplomacy?
Wale waliopata kutembelea Rwanda sasa jiulize hivi kweli amani iliyopo huko ni ya kweli au cosmetic?