FYATU
JF-Expert Member
- Dec 7, 2011
- 5,867
- 5,064
Ukisoma maandiko ya kale hata kupitia Vitabu vyetu vya kiimani ni kama utaona Dunia ya kitambo hicho ilikuwa nyuma sana ki teknolojia.Hawakuwa na mashine za kuwarahisishia kazi.
Na ukifuatilia gunduzi nyingi zilizopo leo zinaanzia hapo miaka ya 1700 hivi,na kadri tunavyoenda na ndivyo gunduzi haswa za kisayansi nazo zinaenda mbio kwelikweli.
Leo tunazungumzia mambo kama AI n.k. Muda si mrefu yatakuja mengine tena ya kustaajabisha na kushangaza.
Sasa ni vipi kwa Walioishi miaka ya nyuma ya hapo?Ni teknolojia ipi ya kustaajabisha tuliyoipokea kutoka kwao?.Nini hatima ya hii spidi ya teknolojia maana kila siku kuna jipya, na kasi ni kubwa sana.
Na hapa tusichanganye teknolojia na miujiza.Watu wa kale wengi wanajivunia miujiza zaidi.
Na ukifuatilia gunduzi nyingi zilizopo leo zinaanzia hapo miaka ya 1700 hivi,na kadri tunavyoenda na ndivyo gunduzi haswa za kisayansi nazo zinaenda mbio kwelikweli.
Leo tunazungumzia mambo kama AI n.k. Muda si mrefu yatakuja mengine tena ya kustaajabisha na kushangaza.
Sasa ni vipi kwa Walioishi miaka ya nyuma ya hapo?Ni teknolojia ipi ya kustaajabisha tuliyoipokea kutoka kwao?.Nini hatima ya hii spidi ya teknolojia maana kila siku kuna jipya, na kasi ni kubwa sana.
Na hapa tusichanganye teknolojia na miujiza.Watu wa kale wengi wanajivunia miujiza zaidi.