HAKI bin AMANI
Senior Member
- Sep 5, 2011
- 156
- 34
Kuna Waziri wa Wanawake, Jinsia na Watoto. Je, wanawake ni nini na jinsia ni nini na je, watoto hawana jinsia?
Kwangu nafikiri jinsia imetumika kama Gender ikimaanisha mgawanyiko wa kazi.