Ni salama,ina chemikali inayoua vijidudu vinavyoambukiza maradhi ya tumbo.Ni muhimu pia kuchuja maji kutoa vumbi na viuchafu vingne.Nimesoma Ila kuna nes hapa ananiambia si yo salama kama tunavyodhan ndiyo maana nikaomba msaada
Kama inaweza to a madoa katika nguo inaweza he kuwa salama katika mwili wa binadam???Ni salama,ina chemikali inayoua vijidudu vinavyoambukiza maradhi ya tumbo.Ni muhimu pia kuchuja maji kutoa vumbi na viuchafu vingne.
Huyo nesi anaongea maneno ya kusikia tu lakini hakuna tafiti yoyote mpaka sasa niliyowahi kuisoma ikieleza tofauti juu ya usalama wa maji yaliyochanganywa na Water guard
Ni chlorine ,inakubarika kutibu majiJaman naomben kujua Je Water Guard nisalama ukiweka kwenye maji tuu na kunywa maana naskia wanasema siyo salama mpaka uchemshe maji pls tusaidiane wapa wataalamu
Kajaribu uone au chukua kanga ya rangi udondoshee matone kadhaa then iache kwa muda utakuta imechubuka rangiMmh sijawai kusikia ikitoa madoa kwenye nguo hiyo cyo jic
Nadhani itakua kweli inatoa madoa,Kama inaweza to a madoa katika nguo inaweza he kuwa salama katika mwili wa binadam???
Jaman naomben kujua Je Water Guard nisalama ukiweka kwenye maji tuu na kunywa maana naskia wanasema siyo salama mpaka uchemshe maji pls tusaidiane wapa wataalamu