Je, watanzania wanapenda sana ngono?

Je, watanzania wanapenda sana ngono?

my name is my name

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2015
Posts
2,016
Reaction score
2,402
Wakiwa kwenye vyombo vya usafiri wanaongelea ngono. Wakiwa shuleni wanaongelea ngono,wakiwa kazini wanaongelea ngono, wakiwa hotelini wanaongelea ngono kila sehemu wanaongele ngono.

Hata kwenye nyumba za ibada wanaongelea ngono, sishangai Tanzania ni nchi yenye watu wenye low IQ maana watu wake hakuna wanalowaza zaidi ya ngono.
 
Kwa jinsi ulivyopagawa na ngona umeshindwa hata kuandika vizuri thread yako kwa sababu unawaza ngono na umetoka kufanya ngono, shule yako ni ngono, kazi yako ni ngono, mawazo yako ningono, tamaa yako ni ngono, unachofanya ni ngono, unejiunga jamii forums kwa sababu ya ngono........................ukilala ni ngono...........ukionges ni ngono.......ushauri wako ni ngonooooooooooo....................
 
Vijana wa Tanzania bhana,

Hata sindano hatuwezi, tumebaki kulalamika
 
Wakiwa kwenye vyombo vya usafiri wanaongelea ngono. Wakiwa shuleni wanaongelea ngono,wakiwa kazini wanaongelea ngono, wakiwa hotelini wanaongelea ngono kila sehemu wanaongele ngono.

Hata kwenye nyumba za ibada wanaongelea ngono, sishangai Tanzania ni nchi yenye watu wenye low IQ maana watu wake hakuna wanalowaza zaidi ya ngono.

Wwe c yule mtoto uliega hapa jamvin kua unaondka unaenda Canada na utabadl forums 😀😀 kweli utoto raha
 
Wakiwa kwenye vyombo vya usafiri wanaongelea ngono. Wakiwa shuleni wanaongelea ngono,wakiwa kazini wanaongelea ngono, wakiwa hotelini wanaongelea ngono kila sehemu wanaongele ngono.

Hata kwenye nyumba za ibada wanaongelea ngono, sishangai Tanzania ni nchi yenye watu wenye low IQ maana watu wake hakuna wanalowaza zaidi ya ngono.

nadhani watanzania wengi kwanza hawako busy hata kifikra, hawawazi future kama vile wamekata tamaa, pengine mabadiliko yatakuja tokea tunahitaji maisha magumu kidogo before we change and think of tommorow
 
Moja kuzaliwa. Pili Mapenzi. Tatu kifo. Waulize hata Adam na Hawa waanzilishi.
 
Wakiwa kwenye vyombo vya usafiri wanaongelea ngono. Wakiwa shuleni wanaongelea ngono,wakiwa kazini wanaongelea ngono, wakiwa hotelini wanaongelea ngono kila sehemu wanaongele ngono.

Hata kwenye nyumba za ibada wanaongelea ngono, sishangai Tanzania ni nchi yenye watu wenye low IQ maana watu wake hakuna wanalowaza zaidi ya ngono.

Duh! sasa kama hupendi mzizimkavu ulikua unamtafuta wa nini?
 
Ngono ni jambo ambalo huwezi liepuka. Siyo Tanzania ni sunia nzima. Angalia.miziki hata ya nje kwa sehemu kubwa ni.miziki ya mapenzi.
 
Back
Top Bottom