Kwa hyo na sisi tusubiri miaka 400 ili kuondoa vikwazo vitakavyo mnyima mwananchi haki ya kupiga kura?mbona hatusubiri miaka 400 ijayo ndo tufikirie maswla ya STGR.au bado una mawazo ya alieko juu mngoje chini?utangoja sana.Tofauti kubwa sana ya miaka 400+ na miaka 50 walahi
Hao walianza na hakuna mwanamke kupiga kura, ikaja mtu mweusi. NDUGU YANGU USIONE VYA ELEA VIMEUNDWA WALAHI