Je, wasumbuliwa na kunguni..?usihofu kumteketeza ni rahisi sana

Speed of light

JF-Expert Member
Nov 8, 2014
313
284
Je! Wasumbuliwa na huyu mdudu mwenye karaha na maudhi tele...? Kama ndio usihofu dawa ama sumu ya kumuangamiza ni rahisi sana, nenda duka lilokaribu nawe nunua mijali miwili ya mafuta ys taa kisha nyunyizia kila sehemu ya kitanda unakohisi anaweza jificha acha milango wazi ili harufu ya mafuta isidumu chumbani wala usichanganye na chochote wala usinyunyuze karibu na moto.

Mafuta ya taa ni kilipuka chukua tahadhari. Na usimimine kiasi kikubwa mpaka ikatiririka kidogo tu inatosha kumuulia mbali mdudu huyu mwenye karaha na maudhi tele nimejaribu mara kadhaa na tatizo halipo tena.
 
Mi nilikuwa nauchapa usingizi tu ila asubuhi nakuta mwili umevimba na vipele kibao, wadudu hatari sana hawa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom