Ulimbo
JF-Expert Member
- Aug 14, 2009
- 3,767
- 4,035
Mbona makonda hakamatwi na hiyo Takukuru?
Wakimkamata atasema ni takrima
Mbona makonda hakamatwi na hiyo Takukuru?
Well said mkuu, niongeze kidogo hawatafunguliwa kesi ya kutoa rushwa ila watafunguliwa kesi za kuhujumu ujumi!Unauliza vumbi stoo au makofi polisi? Watakamatwa na takukuru na kufunguliwa kesi ya kutoa rushwa.
Jibu kwa hoja nduguRubbish
Yuko juu ya SheriaTakukuru hawaoni?
Mbona hawamkamati kwa kutoa rushwa?
Au huyo sheria hiyo ya rushwa haimhusu?
Na wote ni madikteta!Hapana, ni wa pili. Wa kwanza aliitwa Al Haj, Field Marshall, Dr. Idi Amin Dada. Kwa huyu naye miili ya Waganda wengi iliokotwa ikielea Ziwa Victoria hadi mamba nao wakakinai kuila.
Mmmmh ww unajifanya huzitamani? Mimi nikimuona ananyosha mkono unaelekea nilipo, nasema Asante Yesu kwa kujibu maombi yangu!!!!!!!!!!Kiongozi wetu ni wa kwanza duniani anayetembea na mabulingutu ya noti na kuzigawa katika mikutano ya hadhara! Hii ni rushwa ya kuwashawishi wananchi aonekane anajali shida zao!