Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 17,895
- 25,945
Amani iwe nanyi wakuu
Somalia imefungua kesi ICJ ikidai Kenya imekalia eneo lake la Lamu kwa mabavu.
Na endapo kesi hiyo Wakenya watashindwa maana yake itabidi waliachie eneo hilo pamoja na watu wake na rasilimali zake zote.
Sasa kasheshe inakuja kwamba endapo Wakenya watashindwa itabidi nao wafungue kesi ICJ ili kuichukua Zanzibar ambayo ipo karibu sana na Kenya.
Je, Wazanzibar watakubali kwenda Kenya na kuwa raia wa Kenya?
Je Wazanzibar watakubali kuwa mkoa ndani ya Kenya?
Na endapo Zanzibar itaenda Kenya basi Mombasa nayo itakuja Tanganyika.
Karibuni sana watu wa Mombasa
Kwaherini wazanzibari watanganyika tuliwapenda ila wakenya wamewapenda zaidi.
Sasa CCM itabidi itafute colon jingine kati ya Burundi au Rwanda, maana watanganyika hatuwezi ishi bila kuwa na kikoloni chetu kidogo dogo.
Nawasilisha
BOY FROM LONDON
Somalia imefungua kesi ICJ ikidai Kenya imekalia eneo lake la Lamu kwa mabavu.
Na endapo kesi hiyo Wakenya watashindwa maana yake itabidi waliachie eneo hilo pamoja na watu wake na rasilimali zake zote.
Sasa kasheshe inakuja kwamba endapo Wakenya watashindwa itabidi nao wafungue kesi ICJ ili kuichukua Zanzibar ambayo ipo karibu sana na Kenya.
Je, Wazanzibar watakubali kwenda Kenya na kuwa raia wa Kenya?
Je Wazanzibar watakubali kuwa mkoa ndani ya Kenya?
Na endapo Zanzibar itaenda Kenya basi Mombasa nayo itakuja Tanganyika.
Karibuni sana watu wa Mombasa
Kwaherini wazanzibari watanganyika tuliwapenda ila wakenya wamewapenda zaidi.
Sasa CCM itabidi itafute colon jingine kati ya Burundi au Rwanda, maana watanganyika hatuwezi ishi bila kuwa na kikoloni chetu kidogo dogo.
Nawasilisha
BOY FROM LONDON