queen of sorrow
Senior Member
- Apr 29, 2014
- 130
- 40
kweli naona wengi hawaelewi kilichoandikwa hii ni credit kwa wanawake
Ni wale mabinti wa SAUT msamehe tuMay be hajaelewa kilichoandikwa, wakati mwingine ni vizuri kuuliza kwanza.
Ujumbe umemsifu mwanamke.Mbona dada zetu hamumpongezi mtoa wazo?
Ni wale mabinti wa SAUT msamehe tu
kweli naona wengi hawaelewi kilichoandikwa hii ni credit kwa wanawake
I assume wewe ni ke. Nilidhani utafurahia hii habari. Kwa hiyo wanawake ni inferior always?
Men are.women are idiot?