Je! wanawake mnalijua hili ?

Je! wanawake mnalijua hili ?

chakii

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2013
Posts
21,369
Reaction score
27,785
1414300495145.jpg
 
NOW NOW NOW!

Not to brag but, An egoistic personality is very unattractive na si sifa nzuri. kwakweli inamfanya mtu kuwa wa kudharauliwa. Wanaume wanavyopenda kuabudiwa, kunyenyekewa, kuwafanya wajione wao ndo wao!!! Ni kituko kwakweli dont you guys see?

wanawake wako kimya massaging your egos na nyie mnajiona yeeees kumbe ni kituko. Na atokee mwanamke sasa who tells it on your face "kiss my @$$", mwanaume anavyopanic na kukuita kila jina!!! hahaaaaa.

Mr. Golding is right.
 
yaan hata sijaelewa unangelea nini unajaza server tu!!!
 
Sure mwanamke ana nguvu kubwa sana, me sidhani kama tunahitaji Beijing conference ili kupata usawa....
Hakuna mwanaume superior mbele ya mwanamke....
Ndo nishasema...
 
chakii kama ni mwanaume basi wewe wa ukweli!!!na kama ke you are so lovely,hii kitu wanaume wengi hawa appreciate wanawake sijui ni kwanini?wanawake wajikubali kwanza kwa kila wanachofanya
 
Women are superior by being Women na Man are superior by being Men
Binadamu anajichanganya always akifanya demarcation.
 
chakii kama ni mwanaume basi wewe wa ukweli!!!na kama ke you are so lovely,hii kitu wanaume wengi hawa appreciate wanawake sijui ni kwanini?wanawake wajikubali kwanza kwa kila wanachofanya

I'm a man and that's the truth mkuu!!
 
Back
Top Bottom