AshaDii
Platinum Member
- Apr 16, 2011
- 16,190
- 18,080
[/LIST]
If you dont mind lets analyze the first one ... Is that ..real ... Love ? ... or ..Kuna siri fulani hapo ....
yaani kuna msukumo anaupata au kuvutiwa na kupendezwa na mtu anayemtenda... Yaani..katendwa mara ya kwanza ..cha ajabu ...tena ajabu sana ...anajishagaa ..haoni tatizo kutendwa..!! and what happens ..Anatendwa ..anonewa...tena ..na tena ...!! Hatakuwa na raha of course .. Lakini hawezi kujitenga na mtendaji .. au!?
Mapenzi is so phenomenal..... To understand Love the way inapaswa haiwezekani kamwe for kila mwanadamu aelewa vile yeye ataka.... Hilo ndo linafanya kuwe na tofauti in giving and receiving.... Nikirudi kwa huyo kundi A; Ni watu ambao wana a very pessimistic nature in looking at things na si love peke yake.... Anaamini kua ni so speacial na hivo u-special wake haiwezekani uende bure bila rewards ya kile ambacho amaamini, na hasa katika Mapenzi... BUT Life is a BITCH sometimes-hivo yaweza muonesha kua what s/he belives is not necessarily true, Na life ikifanya hivo (kumuonesha ukweli) Cruedly.... not gently ndo anapoishia a bad and sad ending....