waBasila Senior Member Joined Jun 27, 2013 Posts 168 Reaction score 37 Sep 10, 2013 #21 Ingekua nikipindi flan, ungeitwa freemason
prospa JF-Expert Member Joined Oct 13, 2012 Posts 554 Reaction score 157 Sep 10, 2013 #22 Omygad said: hahahahahahaha Click to expand... si kila homa malaria????????????
Me370 JF-Expert Member Joined Mar 10, 2008 Posts 985 Reaction score 293 Sep 10, 2013 #23 Yaani kweli wa TZ masomo ya sayansi wengi wamekimbia. Wenyewe mnaona miujiiiiiiizaaaa. Hivi hamuoni kuwa hapo anawaambia mchukue 2013 toa mwaka ulozaliwa? Kujua kinachotendeka kirahisi assume kiatu chako ni size namba 1 utaona nini kinachotokea.
Yaani kweli wa TZ masomo ya sayansi wengi wamekimbia. Wenyewe mnaona miujiiiiiiizaaaa. Hivi hamuoni kuwa hapo anawaambia mchukue 2013 toa mwaka ulozaliwa? Kujua kinachotendeka kirahisi assume kiatu chako ni size namba 1 utaona nini kinachotokea.