Once a criminal is a criminal hata akiwa rais, akifunguliwa kesi lazima aende kujibu hata kama ana perform wonders.Sisi hatukumteua kwa sababu ya vyeti vyake mkuu kama alifoji ndiyo unatuambia leo hata hivyo bado tunasisitiza kuwa issue ya vyeti hatuna muda nayo maadamu kazi zetu anafanya basi ni sawa na wale walioko jeshini na vyeti bandia umesikia wanaguswa jiulize kwa nini kisha pigia mstari kwa Paul Makonda