Je, wajua majibu unayo wewe?

Je, wajua majibu unayo wewe?

Joined
Mar 31, 2020
Posts
67
Reaction score
59
Tumsifu yesu Kristu, bwana yesu asifiwe, iweeeeeeeee, asyalemu aleku.

Kwanza niwashukuru wadau wote kwa kuendelea kudumisha jukwaa letu la JamiiForums, kweli mnastahili sifa.

Ngoja nije kwenye mada je unajua majibu ya maisha yako, yako ndani mwako? Mungu alivyokuumba aliweka majibu ya riziki zako kwenye mwili wako, hivyo usihuzunike kabisa ngoja nikupe mifano kidogo.

Elimu hai-guarantee wewe kuwa tajiri lakini utajiri hutokea kwa watu wanao jua siri hiii ndio maana unaweza shangaa wanaofanya biashara kubwa ni watu ambao hawajasomea, ila wanafanya biashara kwa ustadi mkubwa ni kwa sababu kile walichowekewa na Mungu ni talanta ya biashara

Nimechoka kesho nitaandika mengine.
 
Umeandika hovyohovyo na inawezekana umeandikia juu ya viti virefu ila nimekuelewa.

Issue siyo utajiri ila ni kuishi ndoto zako mwingine hapa ndoto zangu zilikuwa kuwatumikia wananchi wa Tanzania kama mwanajeshi ila hola. Siyo kila mtu anataka utajiri brother.
 
Huna akili kukaa humu tu jf ni utajiri tosha watu kijijini wananitamani sana.

Bakhresa anajiona maskini. Bush family wanajiona maskini wa kutupwa hawana furaha.

Jiwe kajenga chato mijengo ya maana.midege.reli Kala hela yote BOT.mpaka sasa hazina hakuna kitu lkn alijiona maskini wa kutupwa.

Shetani baba yenu Mungu alimpa kila kitu lkn akataka zaidi.hata huko aliko Ana kila kitu lkn bado anamtaka mleta mada. Usituchanganye!!!

Kuonekana humu tu ni utajiri tosha.
 
Back
Top Bottom