Je, wajua kwanini aliyekuwa Rais wa Gambia anakuwa king'ang'anizi wa Madaraka?

TangataUnyakeWasu

JF-Expert Member
Dec 18, 2016
1,268
1,611
Je wajua Kwa nini aliyekuwa Rais wa Gambia anaogopa kutoka madarakani baada ya kushindwa na mpinzani wake ...?

1. Kipindi cha uongozi wake aliua Sana wananchi waliokuwa wakikosoa utendaji wake.

2. Aliwafunga jela wapinzani wake

3. Alifisadi rasilimali za nchi hiyo Kwa kiwango cha juu.

Kwa maana hiyo anaona SOO kuachia madaraka Kwa kujua alichowafanyia raia wa Gambia soon kinaenda kumrudia.

HABARI HII IWE FUNDISHO KUBWA KWA VIONGOZI WENGINE WA KIAFRIKA IKIWEMO NCHI YETU YA ...................!!

Malipo ni hapa hapa katika uso wa dunia
 
Je wajua Kwa nini aliyekuwa Rais wa Gambia anaogopa kutoka madarakani baada ya kushindwa na mpinzani wake ...?

1. Kipindi cha uongozi wake aliua Sana wananchi waliokuwa wakikosoa utendaji wake.

2. Aliwafunga jela wapinzani wake

3. Alifisadi rasilimali za nchi hiyo Kwa kiwango cha juu.

Kwa maana hiyo anaona SOO kuachia madaraka Kwa kujua alichowafanyia raia wa Gambia soon kinaenda kumrudia.

HABARI HII IWE FUNDISHO KUBWA KWA VIONGOZI WENGINE WA KIAFRIKA IKIWEMO NCHI YETU YA ...................!!

Malipo ni hapa hapa katika uso wa dunia
Acha uzushi mkuu
 
Ndio imeshakuwa hivyo sasa ni lazima aondoke apendeasipende na asipoangalia ana weza akashindwa hata nchi ya kukimbilia kwa kuwa ameshakuwa adui wa kimataifa.
 
Je wajua Kwa nini aliyekuwa Rais wa Gambia anaogopa kutoka madarakani baada ya kushindwa na mpinzani wake ...?

1. Kipindi cha uongozi wake aliua Sana wananchi waliokuwa wakikosoa utendaji wake.

2. Aliwafunga jela wapinzani wake

3. Alifisadi rasilimali za nchi hiyo Kwa kiwango cha juu.

Kwa maana hiyo anaona SOO kuachia madaraka Kwa kujua alichowafanyia raia wa Gambia soon kinaenda kumrudia.

HABARI HII IWE FUNDISHO KUBWA KWA VIONGOZI WENGINE WA KIAFRIKA IKIWEMO NCHI YETU YA ...................!!

Malipo ni hapa hapa katika uso wa dunia

Aogopa JELA!!!
 
Wao wameng'ang'ania kiaina bara inaeleweka kisiwani walishasema hawaachi nchi kwa vikaratasi hilo nalo linahitaji ujuzi na juzijuzi katibu wao kasema haitatokea upinzani kukabidhiwa nchi
 
Back
Top Bottom