Je, wajua japo Mungu huweka Serikali za Mataifa kuna Serikali/Viongozi wa Mungu na Shetani? Tusiruhusu Ushetani kwa kuchagua mashetani

Je, wajua japo Mungu huweka Serikali za Mataifa kuna Serikali/Viongozi wa Mungu na Shetani? Tusiruhusu Ushetani kwa kuchagua mashetani

Pascal Mayalla

Platinum Member
Joined
Sep 22, 2008
Posts
57,102
Reaction score
128,716
Wanabodi

Mungu na Shetani
Hiii ni moja ya Mada zangu abstract zinazotumia holistic approach ya dhana dhanifu ya Mungu na shetani。

Leo tena naendelea na zile makala zangu za malaika na shetani.

Kwa wasomaji wapya katika kukumbushana tuu, hapo hapo mwanzo, shetani alikuwa malaika kabla hajawa shetani, tena ndio alikuwa malaika Mkuu!

Kuelekea uchaguzi mkuu wa。October,2025, hii mada elimishi ya kuwa elimisha watu humu kuhusu tawala za Kimungu na tawala za kishetani, na viongozi wa KiMungu na viongozi wa kishetani,ili October tuchague viongozi wa KiMungu tupate utawala wa KiMungu, tusije kuchagua tena viongozi wa kishetani wakaendeleza huu ushetani unaotokea Tanzania sasa!

Swali la kwanza ni

Je, wajua japo Mungu ndiye huweka tawala zote na serikali za mataifa?,hivyo tawala zote duniani na serikali zote duniani ni za Mungu na viongozi wote duniani,huwekwa na Mungu,ila kuna tawala na serikali,licha ya kuwekwa na Mungu,zinafanya kazi ya shetani,na vivyo hivyo kwa viongozi,licha ya kuwekwa na Mungu,viongozi hawa hufanya kazi ya shetani!,sasa tunapoelekea kwenye uchaguzi mkuu wa rais wabunge na madiwani, tusiruhusu ushetani kwa kuwachagua viongozi mashetani!,tuchague viongozi wa Mungu wenye roho wa Mungu ndani yao,ili tupate utawala wa Mungu na serikali ya Mungu!。​

Mtihani mkubwa na changamoto kubwa ni tutawatambuaje hawa ni viongozi wa KiMungu tuwachague, na hawa ni wa kishetani, tusiwachague ?。
Bwana Mungu wa Majeshi asema "Tutawatambua kwa matendo yao"!.
Mungu Ibariki Tanzania!
Paskali

Rejea za mambo ya Mungu na shetani。
  1. Pre GE2025 - Uchaguzi Wetu ni Umungu /Ushetani?Anaye Kinukisha Kuuzuia Uchaguzi wa Kimungu ni Shetani!ila Kama ni wa Kishetani,Anayeuzuia Afanya Kazi ya Mungu au?
  2. Pre GE2025 - Lissu na kauli mbiu ya “No Reforms, No Election” ni mipango ya Mungu au ya Shetani kutusambaratisha?
  3. Angalizo: Kuna Wengi Wanamwabudu Shetani Wakidhani ni Mungu!. Jee Wewe Unajijua?, Jitambue!.
  4. Malaika akijiunga na mashetani, anageuka shetani? Shetani akijiunga na malaika anageuka malaika?!
  5. Elections 2015 - Nani hatari zaidi kati ya malaika aliyegeuka shetani, Au shetani aliyegeuka malaika?!
  6. The Power of Karma- Ndio hukumu pekee ya haki kamili hapa Duniani. Unahukumiwa kwa matendo yako!
 
Sorry bandiko hili limepanda kabla halijaiva,nawasiliana na mode, akiisha fanya kitu
litapanda tena
Sorry!。
P
Wakati tukimsubiria mode aamke,unaweza kujivinjari kwenye series nyingine za Mungu na Shetani
  1. Pre GE2025 - Uchaguzi Wetu ni Umungu /Ushetani?Anaye Kinukisha Kuuzuia Uchaguzi wa Kimungu ni Shetani!ila Kama ni wa Kishetani,Anayeuzuia Afanya Kazi ya Mungu au?
  2. Pre GE2025 - Lissu na kauli mbiu ya “No Reforms, No Election” ni mipango ya Mungu au ya Shetani kutusambaratisha?
Anaewakandamiza wapinzani nae kuna umungu au ushetani?
 
Sorry bandiko hili limepanda kabla halijaiva,nawasiliana na mode, akiisha fanya kitu
litapanda tena
Sorry!。
P
Wakati tukimsubiria mode aamke,unaweza kujivinjari kwenye series nyingine za Mungu na Shetani
  1. Pre GE2025 - Uchaguzi Wetu ni Umungu /Ushetani?Anaye Kinukisha Kuuzuia Uchaguzi wa Kimungu ni Shetani!ila Kama ni wa Kishetani,Anayeuzuia Afanya Kazi ya Mungu au?
  2. Pre GE2025 - Lissu na kauli mbiu ya “No Reforms, No Election” ni mipango ya Mungu au ya Shetani kutusambaratisha?
Tumeshakuelewa vyema mkuu serikali za mashetani zikataliwe nchini.
 


Watu waliomkataa Kristo wanatawaliwa na Mungu na shetani kwa wakati mwingine .
Ufalme wa Mungu uko ndani mwenu.
Nchi nyingi duniani zina utawala wa Mungu na wa shetani .

Marekani kuna tawala mbili na vyama viwili ambavyo wanapitia humo watu ama wa Mungu au wa shetani .

Ukiona utawala unakaa madarakani kwa Rushwa ,kuua na kutisha watu huku watawala wakiishi kwa starehe na kujilimbikizia mali na kupingana na hoja za wachamungu juu ya haki basi tawala hizo ni za kishetani.

Hata kama kuna chama kimoja bado panapokuwa na watu waliomkataa kristo aliyeleta Ufalme wa Mungu basi Shetani anaibuka na kukalia kiti kwa muda wake . Hapo utaona makufuru Mengi , anasa nyingi ,watu kupenda pesa na mambo ya dunia kuliko kupenda nchi yao. Michezo mingi ,kodi kubwa kwenye sukari na dawa kuwa na bei kubwa ,Gharama za bei ya maji ,umeme na MAWASILIANO bei juu lakini cha ajabu Sigara na pombe miaka mingi sasa haipamdishiwi Kodi.

Shetani alijaribu kumtawala hata YESU aliyekuja kuleta ufalme wa Mungu duniani . Yesu aliwaonya wanafunzi wake akawaambia huu ni wakati wa ufalme wa giza .
Kwa hiyo shetani anatawala .

Pia alisema ,Mwana akiwaweka huru nanyi mtakua huru kweli kweli . Kwa hiyo kama hakuna uhuru kweli kweli basi huo ni utawala wa shetani au utawala wa giza maana mambo yake yanakuwa ni ya gizani.

Pia unafiki unapokua mwingi ni dalili ya utawala wa shetani .
Yesu aliwakemea waandishi na wanasheria kwa unafiki wao .
Aliwakemea wanasheria kwa kutunga sheria na kuwabebesha wananchi wakati wao wenyewe hawazifuati hata kwa kuzigusa kwa ncha ya kidole.Dalili nyingine ya utawala wa shetani ni kuwawekea wananchi sheria kali ambazo wao wenyewe hawazifuati .

Yesu akasema jitieni nira yangu maana nira yangu ni nyepesi na laini na mzigo wangu ni Mwepesi . Ukiona serikali inawapa wananchi wake mzigo mkubwa na ugumu wa maisha na hata kujieleza Ili hali watawala wanaenjoy maisha basi ujue huo ni utawala wa shetani.

Naama ni wakati wa kung'oa na kuondosha tawala za kishetani dunia kwa kuwashitaki kwa Mungu aliyeasili ya wema na hekima na MAARIFA .

HAKO SAWA KWA WOTE
 
Wanabodi

Swali la kwanza ni

Je, wajua japo Mungu ndiye huweka tawala zote na serikali za mataifa?,hivyo tawala zote duniani na serikali zote duniani ni za Mungu na viongozi wote duniani,huwekwa na Mungu,ila kuna tawala na serikali,licha ya kuwekwa na Mungu,zinafanya kazi ya shetani,na vivyo hivyo kwa viongozi,licha ya kuwekwa na Mungu,viongozi hawa hufanya kazi ya shetani!,sasa tunapoelekea kwenye uchaguzi mkuu wa rais wabunge na madiwani, tusiruhusu ushetani kwa kuwachagua viongozi mashetani!,tuchague viongozi wa Mungu wenye roho wa Mungu ndani yao,ili tupate utawala wa Mungu na serikali ya Mungu!。​


Mtihani mkubwa na changamoto kubwa ni tutawatambuaje hawa viongozi wa kishetani?。

Tutawatambua kwa matendo yao!
Shetani akikupa cheo, hakuna jipya. Itajulikana kwa uwazi kuwa umekuwa sehemu ya utawala wa shetani.

Hata hawa wanaoteka na kuua, wakifanikiwa kufanya huo ushetani wao, wapowanaopandishwa vyeo. Lakini unakuwa umepanda cheo katika utawala wa shetani.
Niliwahi kuuliza
P
 
Wanabodi

Je, wajua japo Mungu ndiye huweka tawala zote na serikali za mataifa?,hivyo tawala zote duniani na serikali zote duniani ni za Mungu na viongozi wote duniani,huwekwa na Mungu,ila kuna tawala na serikali,licha ya kuwekwa na Mungu,zinafanya kazi ya shetani,na vivyo hivyo kwa viongozi,licha ya kuwekwa na Mungu,viongozi hawa hufanya kazi ya shetani!
Nimeangalia hiki kinachoendelea kanisa la Gwajima,
View: https://www.youtube.com/live/WqC1KFQsPmE?si=jEM9aOvXAR7PMgVT
Kama Askofu Gwajima ni mtumishi wa Mungu wa kweli,na wafuasi wake wanayemwamini ni Mungu wa kweli,then mtu yeyote anayewazuia watu kumuabudu Mungu wa kweli,then huyo afanyae hivyo,afanya kazi ya shetani!。

Lakini kama Askofu Gwajima ni nabii wa uongo,Askofu Gwajima ni Mtumishi wa Mungu wa kweli au? Asema Uongo. Adai yeye ni zaidi ya Rais then, anayelifungia kanisa la nabii wa uongo,afanya kazi ya Mungu!。Na anayewazuia kuabudu uongo na upotovu,afanya kazi ya Mungu!。
P
 
Nimeangalia hiki kinachoendelea kanisa la Gwajima,
View: https://www.youtube.com/live/WqC1KFQsPmE?si=jEM9aOvXAR7PMgVT
Kama Askofu Gwajima ni mtumishi wa Mungu wa kweli,na wafuasi wake wanayemwamini ni Mungu wa kweli,then mtu yeyote anayewazuia watu kumuabudu Mungu wa kweli,then huyo afanyae hivyo,afanya kazi ya shetani!。

Lakini kama Askofu Gwajima ni nabii wa uongo,Askofu Gwajima ni Mtumishi wa Mungu wa kweli au? Asema Uongo. Adai yeye ni zaidi ya Rais then, anayelifungia kanisa la nabii wa uongo,afanya kazi ya Mungu!。Na anayewazuia kuabudu uongo na upotovu,afanya kazi ya Mungu!。
P



666 ni namba ya utawala wa binadam badala ya utawala wa Mungu .

Mungu alionya kuhusu tawala hizo za kibinadam maana alijua wazi kuwa watainuka watawala watakaojikweza na kuwa kama miungu .
Wafalme wa zama hizo walikuwa wanaongozwa na manabii katika kutawala na kusimamia haki maana waao ndio waliokuwa kama majaji wakuu wa kutoa hukumu na maspika wa kusimamia utungaji wa sheria au kutunga sheria pia . Hivyo ilikua ni Lazima pawe na manabii wa Mungu ili wanadamu watendewe Haki na Hao wafalme wasijikweze na kuchukua nafasi ya Mungu . Na wote walijikweza na kufanya dhulma walipingwa na kukemewa hadharani bila kuficha ndio maana taarifa za makemeo hayo yaliandikwa na kujulikana kwenye jamii mpaka leo . Wale wapumbavu na machawa wa leo wanasema oooh ,kwa nini asingekwenda Ofisini au ikulu akamweleza au akamshauri Mkubwa kimya kimya . Wajinga na malofa na wapumvavu wana wa vipofu na vipofu . Kama watawala wangekemea kimya kimya maofisini ni vipi taarifa hizo zikawafikia wananchi na kuandikwa kwenye vitabu na kusomwa hadharani na kulaaniwa mpaka leo?

Yesu alimwita Mfalme Herode Mbweha hadharani na waandishi wakaandika .

Yesu aliwaita waandishi na wanasheria Wanafiki walipokua wanakwepa kuandika habari za haki na ukweli na kujipendekeza kwa watawala .

Zamani hapakua na redio na TV hivyo mfalme alitoa maelekezo na hukumu zake hadharani . Alijibiwa na wanaharakati na manabii hadharani katika jamii bila woga na kama mfalme alikua ni muovu asiyejali manabii basi alitoa amri ya kuuawa hadharani bila kuficha wala kujali. Mambo yakifanyika hadharani ili jamii ipate habari na kuogopa au kujifunza .


Dr. Samia kwa hulka ya Waarabu na waZanzibar na makuzi yao dini ni moja tu uislam. Hivyo Wale akina Malasususa walikua wanakenua meno Kanisa la ufufuo na uzima walipotangaziwa kuwa wanaabudu Shetani basi wajue huo ndio msimamo wa Samia makanisa yote maana waabudu Miungu mitatu kwa Mujibu wa imani yake.

Sasa kwa sababu Rais Samia amepata nafasi ya kuondoa ibada za mashetani basi ni wazi hata Hao wengine zamu yao inakuja .

Lakini kazi ya dini sio kutangaza kanisa la Mungu na la shetani hasa kama Kanisa hilo linafundisha kwa kufuata misingi ya Kitabu chao bila kuvunja katiba ya kibinadam ambayo kimsingi nayo imewekwa ili kutoa haki kwa wote .

Kanisa linalokemea mauaji . Kanisa linalokemea utekaji ,Kanisa linalokemea kundi la watu liwe linajulikana au hakijulikani ili liache vitendo viovu , Kanisa linalomshauri Mtawala kuweka sheria nzuri ili kuwapata viongozi wasiofanya kazi kwa uonevu na kwa upendeleo na kwa hofu haliwezi kuwa ni kanisa la Shetani . Lakini hata kama ni kanisa la shetani lakini limesimama katika kweli na kuhubiri haki na kukemea mabaya basi kanisa hilo limetoka kwa Shetani na limeingia katika Toba na kurejea kwa Mungu .

Lakini Kanisa la Mungu linalosifia ubaya na kukaa kimya watu wakatenda mabaya na wakatoa sadaka zinazotokana na ubaya wao tena ubaya wa kumwaga damu za watu ili wabaki katika madaraka yenye fedha nyingi na mishahara mikubwa ambayo inawawezesha kutoa sadaka kubwa kubwa na kutoa masharti ya nini cha kuhubiri basi kanisa hilo limetoka kuwa kanisa la Mungu na kuwa kanisa la Shetani na limekang'euka .

Kwa hiyo Gwajima na Kanisa lake limezaa matunda yapatanayo na Toba .
Na wamesamehewa dhambi zao zote .

Lakini Malasusa na kanisa lake kama Wamemtukiza mwanadamu na kujipatia sadaka za damu na kufurahia watu zaidi ya 83 kuuawa na wengine kupotea na wageni kuja kupora rasilimali za umma na Wazawa kuwa watumwa basi wametoka kwa Mungu na kuhamia kwa shetani na kujisalimisha au kumsujudia Shetani .

Tanzania hatuna vita wala vurugu za kuuana wenyewe kwa wenyewe . Tanzania tuna amani .

Basi kama tuna amani basi kwa sasa hatuwezi tena kumuomba Mungu atupe amani . Kukesha na kuomba amani ni matumizi mabaya ya sala na kumsumbua Mungu na kukosa shukurani kwa amani aliyotupa halafu bado tunamsumbua .

Tatizo la Tanzania ni kukosekana kwa Haki .
Kukosa Haki katika kupiga kura .
Kukosa haki katika kutangaza washindi wa kura .
Kukosekana kwa haki ya kuwashitaki watawala waovu na wezi .
 
Wanabodi

Mungu na Shetani
Hiii ni moja ya Mada zangu za holistic approach zinazotumia dhana dhanifu ya Mungu na shetani。

Leo tena naendelea na zile makala zangu za malaika na shetani.

Kwa wasomaji wapya katika kukumbushana tuu, hapo hapo mwanzo, shetani alikuwa malaika kabla hajawa shetani, tena ndio alikuwa malaika Mkuu!

Kuelekea uchaguzi mkuu wa。October,2025, hii mada elimishi ya kuwa elimisha watu humu kuhusu tawala za Kimungu na tawala za kishetani, na viongozi wa KiMungu na viongozi wa kishetani,ili October tuchague viongozi wa KiMungu tupate utawala wa KiMungu, tusije kuchagua tena viongozi wa kishetani wakaendeleza huu ushetani unaotokea Tanzania sasa!

Swali la kwanza ni

Je, wajua japo Mungu ndiye huweka tawala zote na serikali za mataifa?,hivyo tawala zote duniani na serikali zote duniani ni za Mungu na viongozi wote duniani,huwekwa na Mungu,ila kuna tawala na serikali,licha ya kuwekwa na Mungu,zinafanya kazi ya shetani,na vivyo hivyo kwa viongozi,licha ya kuwekwa na Mungu,viongozi hawa hufanya kazi ya shetani!,sasa tunapoelekea kwenye uchaguzi mkuu wa rais wabunge na madiwani, tusiruhusu ushetani kwa kuwachagua viongozi mashetani!,tuchague viongozi wa Mungu wenye roho wa Mungu ndani yao,ili tupate utawala wa Mungu na serikali ya Mungu!。​


Mtihani mkubwa na changamoto kubwa ni tutawatambuaje hawa viongozi wa kishetani?。

Tutawatambua kwa matendo yao!

continue。。。

Rejea za mambo ya Mungu na shetani。
  1. Pre GE2025 - Uchaguzi Wetu ni Umungu /Ushetani?Anaye Kinukisha Kuuzuia Uchaguzi wa Kimungu ni Shetani!ila Kama ni wa Kishetani,Anayeuzuia Afanya Kazi ya Mungu au?
  2. Pre GE2025 - Lissu na kauli mbiu ya “No Reforms, No Election” ni mipango ya Mungu au ya Shetani kutusambaratisha?
  3. Angalizo: Kuna Wengi Wanamwabudu Shetani Wakidhani ni Mungu!. Jee Wewe Unajijua?, Jitambue!.
  4. Malaika akijiunga na mashetani, anageuka shetani? Shetani akijiunga na malaika anageuka malaika?!
  5. Elections 2015 - Nani hatari zaidi kati ya malaika aliyegeuka shetani, Au shetani aliyegeuka malaika?!
  6. The Power of Karma- Ndio hukumu pekee ya haki kamili hapa Duniani. Unahukumiwa kwa matendo yako!
Kumtambua shetani ni rahisi sana,kazi za shetani ni matendo yake na kwa Tanzania imekuwa rahisi zaidi maana shetani amejitambulisha na kujitangaza waziwazi Wala hajifichi yupo kila siku na tunamsikia anaunga mkono na kupanga mauaji na utekaji wa watu.
 
Wanabodi

Mungu na Shetani
Hiii ni moja ya Mada zangu za holistic approach zinazotumia dhana dhanifu ya Mungu na shetani。

Leo tena naendelea na zile makala zangu za malaika na shetani.

Kwa wasomaji wapya katika kukumbushana tuu, hapo hapo mwanzo, shetani alikuwa malaika kabla hajawa shetani, tena ndio alikuwa malaika Mkuu!

Kuelekea uchaguzi mkuu wa。October,2025, hii mada elimishi ya kuwa elimisha watu humu kuhusu tawala za Kimungu na tawala za kishetani, na viongozi wa KiMungu na viongozi wa kishetani,ili October tuchague viongozi wa KiMungu tupate utawala wa KiMungu, tusije kuchagua tena viongozi wa kishetani wakaendeleza huu ushetani unaotokea Tanzania sasa!

Swali la kwanza ni

Je, wajua japo Mungu ndiye huweka tawala zote na serikali za mataifa?,hivyo tawala zote duniani na serikali zote duniani ni za Mungu na viongozi wote duniani,huwekwa na Mungu,ila kuna tawala na serikali,licha ya kuwekwa na Mungu,zinafanya kazi ya shetani,na vivyo hivyo kwa viongozi,licha ya kuwekwa na Mungu,viongozi hawa hufanya kazi ya shetani!,sasa tunapoelekea kwenye uchaguzi mkuu wa rais wabunge na madiwani, tusiruhusu ushetani kwa kuwachagua viongozi mashetani!,tuchague viongozi wa Mungu wenye roho wa Mungu ndani yao,ili tupate utawala wa Mungu na serikali ya Mungu!。​


Mtihani mkubwa na changamoto kubwa ni tutawatambuaje hawa ni viongozi wa KiMungu tuwachague, na hawa ni wa kishetani, tusiwachague ?。
Bwana Mungu wa Majeshi asema "Tutawatambua kwa matendo yao"!.
Mungu Ibariki Tanzania!
Paskali
Ni katika kukumbushana tuu
P
 
Kumtambua shetani ni rahisi sana,kazi za shetani ni matendo yake na kwa Tanzania imekuwa rahisi zaidi maana shetani amejitambulisha na kujitangaza waziwazi Wala hajifichi yupo kila siku na tunamsikia anaunga mkono na kupanga mauaji na utekaji wa watu.
Naunga mkono hoja
P
 
Wanabodi

Mungu na Shetani
Hiii ni moja ya Mada zangu za holistic approach zinazotumia dhana dhanifu ya Mungu na shetani。

Leo tena naendelea na zile makala zangu za malaika na shetani.

Kwa wasomaji wapya katika kukumbushana tuu, hapo hapo mwanzo, shetani alikuwa malaika kabla hajawa shetani, tena ndio alikuwa malaika Mkuu!

Kuelekea uchaguzi mkuu wa。October,2025, hii mada elimishi ya kuwa elimisha watu humu kuhusu tawala za Kimungu na tawala za kishetani, na viongozi wa KiMungu na viongozi wa kishetani,ili October tuchague viongozi wa KiMungu tupate utawala wa KiMungu, tusije kuchagua tena viongozi wa kishetani wakaendeleza huu ushetani unaotokea Tanzania sasa!

Swali la kwanza ni

Je, wajua japo Mungu ndiye huweka tawala zote na serikali za mataifa?,hivyo tawala zote duniani na serikali zote duniani ni za Mungu na viongozi wote duniani,huwekwa na Mungu,ila kuna tawala na serikali,licha ya kuwekwa na Mungu,zinafanya kazi ya shetani,na vivyo hivyo kwa viongozi,licha ya kuwekwa na Mungu,viongozi hawa hufanya kazi ya shetani!,sasa tunapoelekea kwenye uchaguzi mkuu wa rais wabunge na madiwani, tusiruhusu ushetani kwa kuwachagua viongozi mashetani!,tuchague viongozi wa Mungu wenye roho wa Mungu ndani yao,ili tupate utawala wa Mungu na serikali ya Mungu!。​

Mtihani mkubwa na changamoto kubwa ni tutawatambuaje hawa ni viongozi wa KiMungu tuwachague, na hawa ni wa kishetani, tusiwachague ?。
Bwana Mungu wa Majeshi asema "Tutawatambua kwa matendo yao"!.
Mungu Ibariki Tanzania!
Paskali
Ni katika kukumbushana tuu
P
 
Back
Top Bottom