Unataka tufanyaje Nyangwisi ?Je wajua ukioga kila siku mara mbili maji ya baridi, una epuka kunywa pombe, huvuti sigara na bangi, unaenda gym unafanya mazoezi, unapata usingizi wa kutosha, unakula matunda kwa kila mlo, unaepukana na huna msongo wa mawazo, hutumii caffeine yoyote iwe kwenye soda, energy drinks na kahawa, unafanya mapenzi salama (safe sex).
KAA UKIJUWA BADO UTAKUFA TU!
adriz de mbusii
Je wajua ukioga kila siku mara mbili maji ya baridi, una epuka kunywa pombe, huvuti sigara na bangi, unaenda gym unafanya mazoezi, unapata usingizi wa kutosha, unakula matunda kwa kila mlo, unaepukana na huna msongo wa mawazo, hutumii caffeine yoyote iwe kwenye soda, energy drinks na kahawa, unafanya mapenzi salama (safe sex).
KAA UKIJUWA BADO UTAKUFA TU!
adriz de mbusii
Unaishi wapi mkuu? Ukijibu swali hilo nitajua nichangie kivipi. Nimemaliza-asante.Je wajua ukioga kila siku mara mbili maji ya baridi, una epuka kunywa pombe, huvuti sigara na bangi, unaenda gym unafanya mazoezi, unapata usingizi wa kutosha, unakula matunda kwa kila mlo, unaepukana na huna msongo wa mawazo, hutumii caffeine yoyote iwe kwenye soda, energy drinks na kahawa, unafanya mapenzi salama (safe sex).
KAA UKIJUWA BADO UTAKUFA TU!
adriz de mbusii
Kwasasa hivi nipo hapa Malmo Sweden.Unaishi wapi mkuu? Ukijibu swali hilo nitajua nichangie kivipi. Nimemaliza-asante.
OK. Uko Sweden. Kwa bahati mbaya sijajua kama umezaliwa na kukulia huko.
Ulitumia oresund bridge nn
Safi hiyo in two weeks time ntakuja huko kunywa bia na wanaKama kawa mkuu
Wewe huku uswahili huwa tunasema bado kuokota makopo tu ๐๐๐Je wajua ukioga kila siku mara mbili maji ya baridi, una epuka kunywa pombe, huvuti sigara na bangi, unaenda gym unafanya mazoezi, unapata usingizi wa kutosha, unakula matunda kwa kila mlo, unaepukana na huna msongo wa mawazo, hutumii caffeine yoyote iwe kwenye soda, energy drinks na kahawa, unafanya mapenzi salama (safe sex).
KAA UKIJUWA BADO UTAKUFA TU!
adriz de mbusii
Wewe hujamuelewa huyo kichaa! Maana yake hata uishi vizuri vipi,uwe na discipline kwenye kila kitu UTAKUFA TU kama mtu yeyote yule ambae anaishi tu bila tajadhari yoyote.OK. Uko Sweden. Kwa bahati mbaya sijajua kama umezaliwa na kukulia huko.
Otherwise sio rahisi uweze kuyafahamu maisha ya Tz. hususan huku vijijini na baadhi ya maeneo ya miji. Zingatia kwamba Upatikanaji wa Maji ni issue mtambuka katika maeneo ya vijijini na baadhi ya sehemu za miji hapa Tz. Kipaumbele ni maji salama ya kunywa na kupikia na sio kuogea. Halafu hiyo gym ni huduma mostly mijini (na wala sio kila mji) na wala sio kila sehemu. Majority ya waTz tunaishi vijijini/mashambani na huduma ya maji ni hafifu sana e.g. Huku Umasaini ndani-ndani huku, mtu kukaa siku 2 bila kuoga ni kawaida sana. Tena e.g. Vibuyu vya kukamulia maziwa kuna maeneo husafishwa kwa kutumia mkojo wa ng'ombe. Huduma ya maji esp. mabwawa/malambo (Charco-dams) huchangiwa au hutumika kwa pamoja mifugo, wanyama pori na binadamu. Itoshe tu kukwambia Karibu sana uje Tz ukajionee mwenyewe - achana na maisha ya Sweden au kutoa Ushauri kwa kudhani watu wote wanaishi huko Sweden. Ni hayo tu.