Je wajua ‘Ayam Cemani’ ndiye Kuku wa thamani ya juu Duniani?

Kurzweil

JF-Expert Member
May 25, 2011
6,621
8,411
Ndugu wanaJF,

Ayam Cemani 2.jpg


Huyu ni Kuku mwenye gharama kubwa zaidi Duniani. Basi unaambiwa kama ukihitaji Jogoo mmojawapo aliyekomaa ili umfuge basi itabidi uwe na Dola za Kimarekani $2000 sawa na Tsh Milioni 4,375,300.00 za hapa kwetu Tanzania.

Bei iko juu kwa kiasi hicho kwa kuwa Kuku hawa wapo wachache mno.



Ndugu wanaJF wenzangu Kuku hawa wanafahamika kama ‘Ayam Cemani’ chimbuko lao ni kule Indonesia, unaambiwa kila kitu kwenye Mwili wao ni cheusi, kuanzia ngozi, maini, utumbo, macho, moyo, ubongo, kiini cha yai lake, nyama yenyewe mpaka kinyesi chao…

Karibuni sana............
 
jamaa nilikuwa namkubali toka sijui anachoimba mpaka nikajua anachoimba then qul nafsi.......tukirudi kwenye mada hivi tukichanganya kunguru na hawa kuku tunaowaita wamalawi hatuwezi tukapata kuku kama hilo kweli
Mkuu sijui kama kibailojia inawezekana
 
Basi unaambiwa kuwa hii ndiyo aina ya Kuku mwenye gharama kubwa zaidi Duniani.. Ukihitaji Jogoo mmojawapo aliyekomaa ili umfuge basi itabidi uwe na $2000., Na sababu kuwa ni kwa sababu wapo wachache mno.

Kuku hawa wanafahamika kama ‘Ayam Cemani’ chimbuko lao ni kule Indonesia, unaambiwa kila kitu kwenye Mwili wao ni cheusi, kuanzia ngozi, maini, utumbo, macho, moyo, ubongo, kiini cha yai lake, nyama yenyewe mpaka kinyesi chao…

Sababu ya weusi huu ni kutokana na wingi wa Melanin kwenye seli zao na hali hii kijenetiki hufahamika “fibromelanosis”.




kuku.jpg
kuku.jpg
 
Basi unaambiwa kuwa hii ndiyo aina ya Kuku mwenye gharama kubwa zaidi Duniani.. Ukihitaji Jogoo mmojawapo aliyekomaa ili umfuge basi itabidi uwe na $2000., Na sababu kuwa ni kwa sababu wapo wachache mno.

Kuku hawa wanafahamika kama ‘Ayam Cemani’ chimbuko lao ni kule Indonesia, unaambiwa kila kitu kwenye Mwili wao ni cheusi, kuanzia ngozi, maini, utumbo, macho, moyo, ubongo, kiini cha yai lake, nyama yenyewe mpaka kinyesi chao…

Sababu ya weusi huu ni kutokana na wingi wa Melanin kwenye seli zao na hali hii kijenetiki hufahamika “fibromelanosis”.




View attachment 366232 View attachment 366233
Enheee wewe umemuonyesha vizuri ila uzi huu utaunganishwa na uzi mwingine sasa hivi
 
Wala
Basi unaambiwa kuwa hii ndiyo aina ya Kuku mwenye gharama kubwa zaidi Duniani.. Ukihitaji Jogoo mmojawapo aliyekomaa ili umfuge basi itabidi uwe na $2000., Na sababu kuwa ni kwa sababu wapo wachache mno.

Kuku hawa wanafahamika kama ‘Ayam Cemani’ chimbuko lao ni kule Indonesia, unaambiwa kila kitu kwenye Mwili wao ni cheusi, kuanzia ngozi, maini, utumbo, macho, moyo, ubongo, kiini cha yai lake, nyama yenyewe mpaka kinyesi chao…

Sababu ya weusi huu ni kutokana na wingi wa Melanin kwenye seli zao na hali hii kijenetiki hufahamika “fibromelanosis”.




View attachment 366232 View attachment 366233

Wala! Hakuna lolote hapo, kapuliziwa rangi ya viatu ya kiwi.
 
Back
Top Bottom