Je, wajua asili ya jina Afrika?

acha uzembe wa kijijini umeipikiwa msosi bado unataka unawishwe???

Jiongeze ntakutuna bure xxxcvy!

Kuwa na adabu kijana, na usirudie kunijibu hayo maneno yako....niliemhoji ndie atapaswa kunijibu, na sio wewe...
 
Porojo ndeeeeeefu.

Afrika ni neno la Kiarabu linalotokana na neno "Afrit" kwa maana the hideous, iliyofichika.
Hapana mwanangu. Nadhani ni neno la kirumi afar au vumbi au nchi ya kule ambayo ni Tunisia ya sasa. Wengine husema ni Ophir iliyotajwa kwenye agano la kale ambayo ilimtajirisha Mfalme Suleiman kwa kumtumia utajiri kila miezi mitatu. Bado hata hivyo hakuna chimbuko linalokubalika kwa wasomi wote wa historia. Kwa kiarabu Afrika ni Afriqiaan siyo Afrit ambayo maana yake siijui zaidi ya afriti ambayo yaweza kumaanisha mwovu kama sikosei.
 

Suez na mfereji wa juzi tu mkuu. Africa na Middle East shares the same tectonic plate. Kutoka Mashariki ya Kati kuja Africa zama hizo watu walikuwa wanaokuja kwa miguu tu. Suez ilijengwa 1850-1860. Miaka 20 kabla ya mkutano maarufu kuligawanya bara la Africa kwa Wakoloni.
 
Porojo ndeeeeeefu.

Afrika ni neno la Kiarabu linalotokana na neno "Afrit" kwa maana the hideous, iliyofichika.
Arabs lilikuwa ni jina linalowakilisha watu weusi wa Masharki ya kati ya kale!! Lkn leo limeporwa.

Africa ni neno la kigiriki. manake ni watu walio ungua yaani weusi!! Waarabu wa leo ni sawa na wapemba au Mullatoes- latino tu! Wanayumbisha ukweli!! Ilikuhalalisha na kuficha asili ya wagiriki ya uwepo wao!!!

Lkn Yahudi anajua ukweli kuhusu watu wa asili wa hapo!! ndo maana ana wapa kichapo cha mbwa mwizi.kila kukicha!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…