Je, wajua amri za Rais sio final and conclusive?. Zinaweza kupigwa chini na mchanga kusafirishwa?

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
50,498
113,601
Wanabodi,

Wanabodi, baada ya Rais Magufuli kutoa amri ya kuzuia kusafirishwa nje kwa mchanga wa makinikia ya dhahabu, kumezua mjadala mkubwa kisiasa, kiuchumi na kijamii.

Kufuatia uamuzi huo kunapigwa kelele nyingi wanasiasa wakilia na kuingiza siasa kwenye kila kitu kwa hisia kuwa kuwa tunaibiwa. Wachumi wakizungumzia athari za kiuchumi na kwa upande wa kijamii watu kupunguzwa kazi.
Japo Beggars Can Not Be Choosers, Tuache Siasa Kwenye Uchumi. We Have to Choose Or. ..

Kwa kawaida kauli ya rais ni amri, ni sheria inahitaji utekelezaji tuu bila mjadala, hivyo
wengi kudhani katazo hilo la rais kupiga marufuku kusafirishwa kwa mchanga huo ni amri final and conclusive.Kauli ya Rais hutawala (final and conclusive)

Sio kila amri ya rais ni sheria na lazima itekelezwe, ili amri yoyote ya rais kuwa sheria, amri hiyo ni lazima iambatane na Presidential Decree na kutangazwa kwenye gazeti la serikali GN. Hii niliishawahi kuizungumza hapa
AG, Mshauri Mh.Rais Atoe Maagizo kwa Presidential Decrees Kuyapa Nguvu ya Kisheria
Amri hii ya kupiga marufuku kusafirishwa kwa mchanga wa makinikia ya dhahabu bado sio sheria hivyo sio final and conclusive. Amri hii inaweza kupingwa mahakamani na rais kulazimishwa kufuta kauli yake, au wavunje mikataba tukadaiane fidia. Tatizo kwa mahakama inayoongozwa na Kaimu Jaji Mkuu, bado sijui hili linawezekaje.

Tawala za nchi zinaundwa na mihimili mitatu rasmi ya dola na mihimili wa nne usio rasmi.

Mihimili hii mitatu rasmi ni Serikali, The Executive, Bunge, The Legislator na Mahakama, The Judiciary ambapo inatakiwa kuwa huru bila kuingiliana (independent) na wakati huo huo kila mhimili ukiwa ni mwangalizi na mdhibiti wa mihimili mingine isikiuke mamlaka yake katika kanuni inayoitwa The Doctrine of Separation of Powers and Checks and Balance.

Mihimili wa Serikali unaoongozwa na rais, kazi yake ni kutawala na kuendesha serikali na kutekeleza sheria zilizotungwa na Bunge na maamuzi ya mahakama na ni kazi yake kuzipa fedha Bunge na Mahakama lakini sii kuingilia utendaji wa Mihimili hii. Serikali ni watcher wa Bunge na Mahakama.

Mihimili wa Bunge unaongozwa na Spika kazi yake ni kutunga sheria zinazotafsiriwa na mahakama na kutekelezwa na serikali. Bunge ni watcher wa serikali na mahakama.

Mhimili wa Mahakama kazi yake ni kutafsiri sheria zilizotungwa na Bunge na kutekelezwa na serikali. Hivyo ni watcher wa Bunge na Serikali. Naomba kukiri Mhimili wa Mahakama chini ya Kaimu Jaji Mkuu hauwezi kuicheck serikali, hivyo tumsisitizie rais wetu ateue Jaji Mkuu. Lengo la Katiba kuweka Kaimu Jaji Mkuu ni kama Jaji Mkuu yupo ila yuko nje ya nchi au mgonjwa ndipo huteuliwa Kaimu, lakini nchi haina kabisa Jaji Mkuu aliisha staafu, unateua Kaimu Jaji Mkuu kama ishara ya kutumuamini au kutumuamini ile Tume ya Majaji, hivyo Kaimu Jaji Mkuu yuko on probation ,akikidhi ndipo athibitishwe, asipokidhi, atateuliwa mwingine. Kwa situation kama hii, hawezi kuutegemea mhimili wa mahakama kuicheck serikali.

Lengo la kila mhimili kuwa mlinzi wa muhimili mwingine ili kudhibiti hii mihimili usikiuke mamlaka yake. Hivyo serikali kulicheck Bunge na Mahakama, Mahakama kulicheck Bunge na Serikali, na Bunge kuicheck Serikali na Mahakama,
Nani Zaidi Kati ya Bunge na Mahakama?!. The Doctrine of "Separation of Powers" Nothing, Just a Myth!

Tangu serikali ya awamu ya tano imeingia madarakani, mkuu wa mhimili mmoja wa serikali amekuwa ndie kiranja mkuu akifanya maamuzi mengi tuu ya kwa maslahi ya taifa japo baadhi ya maamuzi hayo ni maamuzi ya ajabu ajabu na mengine kufanywa kwa pupa na papara, huku yakikiuka hiyo separation of powers hivyo mhimili mmoja akiachiwa bila kuwa checked na mihimili mingine inaweza kulipeleka taifa letu kusiko haswa kwa kuzingatia mkuu wa mhimili huo kuamini mhimili wake umejichimbia chini zaidi hivyo kujidhania na kujiamini kuwa yeye ndio kila kitu!, kiukweli kila kitu ni Katiba na sio mtu.
Mfano wa maamuzi hayo
Kama sio udikteta, Mhe. Rais futilia mbali utawala wa sheria, ongoza kwa 'presidential decrees'!

Watanzania ni lazima tukubali matokeo: Tutake tusitake, utawala wa sheria lazima uheshimiwe

Katazo la Rais Kusafiri Nje ya Nchi bila Vibali: Je, Halikiuki 'Separation of Powers'?

Separation of Powers: Waziri Mkuu Majaliwa atofautiana na Rais Magufuli. Nani mkweli, Nani muongo?

Japo rais ndiye kila kitu na kauli yake ni ya mwisho ila sio final and conclusive, mamlaka yenye uwezo wa kutoa kauli final and conclusive ni Mahakama pekee.

Serikali inatakiwa kutenda haki wakati wote, ikitokea serikali kutoa amri zinazokiuka haki, inaweza kushitakiwa mahakamani na mahakama ikatoa amri za kimahakama ambazo ni final na conclusive zinazoitwa executives orders na kuiamuru serikali kutenda haki kwa lazima. Amri hizo ni Prohibition, Certiorari, Mandamus, Harbea Copos na Quo Warranto (maneno mengine ni Kilatini sijui Kingereza chake wala Kiswahili chake)

Hivyo amri ya rais kupinga kusafirishwa kwa mchanga wa dhahabu inaweza kupingwa mahakamani na mahakama ikatoa amri kuiamuru serikali kuruhusu mchanga huo kuendelea kusafirishwa kama kilichokuwa kinafanyika ni kitu sahihi kwa mujibu ya sheria na kwa mujibu wa mikataba yao.

Kama katazo la rais kuzuia kusafirishwa kwa mchanga huo ni kufuatia udanganyifu kuwa wanasafirisha mchanga wa dhahabu kumbe sio mchanga bali ni dhahabu, hivyo huo ni wizi kama wizi mwingine wowote, na wahusika wanapaswa kushitakiw na sheria kufuata mkondo wake.

Kama ni hivyo, sasa serikali ifanye ukaguzi mpya kupitia GST kupima kiwango chá madini kilichopo kulinganisha na kilichokuwa declared na serikali ndio iyasafirishe hayo makontena ya mchanga na kwenda kuyatindua na kupima dhahabu na madini mengine yatakayopatikana kisha kulinganisha na kile tulichokuwa tunalipwa, kisha kuwadai fidia na faini ya makontena yote zaidi ya milioni moja taifa tulio ibiwa tangu yaanze kusafirishwa kwa kutumia ile formular ya waiba maji au waiba umeme.

Kitendo cha Spika kuamua kuunda Kamati Teule ya Bunge, kufanya uchunguzi wa kinachoendelea kwenye issue ya madini, hii ndio mara ya kwanza sasa kwa Bunge hili kuicheck serikali.

Matokeo ya Kamati hiyo ya Bunge ndio yataonyesha kama hatua zilizochukuliwa na rais wa JMT kusimamisha usafirishaji wa mchanga wa dhahabu ni hatua sahihi. Ikikutikana rais alichemka, kamati hiyo itatoa maazimio ambayo serikali itatakiwa kuyatekeleza itake isitake. Hata kama rais alichemka, taarifa hiyo haitasema kuwa rais alichemka kwa heshima ya rais, bali itatoa maazimio tofauti na katazo la rais.

Kwenye kamati Teule ya Bunge kuchunguza mkataba wa Richmond kwa jina maarufu la Kamati ya Mwakyembe, walikuta madudu kibao ya serikali, hiyo ili kuiokoa serikali, wakatafuta mbuzi wa kafara, ambapo kwa kuteswa kwake huyo mbuzi wa kafara, serikali ikaponywa.
Kitendo cha Spika Ndugai kutembelea bandarini, ni Kitendo cha kuitikia kwa haraka ule wito wangu wa juzi kuwa wasaidizi wa rais wamsaidie rais wetu. Ndugai ameamua kujitokeza Bunge kusaidia kuweka mambo sawa. Uamuzi huu hauna budi kuungwa mkono kwa dhati na waumini wote wapenda haki na waumini wa the doctrine of separation of powers and check and balance, wataunga mkono uamuzi huu.

Hongera sana Spika Job Ndugai kulitumia Bunge kumsaidia rais. Naendelea kusisitiza rais wetu asaidiwe asiachiwe kila kitu yeye peke yake.Wasaidizi wa Rais, Please Msaidieni Rais Wetu Kwenye Public . Msimuachie Kila Kitu Peke Yake! .

Jumatatu Njema.

Paskali.
 
Ukiskikikiza wimbo wa ney wa mitego hasaa mwisho mwisho ndio utapata jibu la hii makala. ""Kichaa kapewa runguu" au umeorgwaaaaa nn
 
Wanabodi,

Wanabodi, baada ya Rais Magufuli kutoa amri ya kuzuia kusafirishwa nje kwa mchanga wa makinikia ya dhahabu, kumezua mjadala mkubwa kisiasa, kiuchumi na kijamii.

Kufuatia uamuzi huo kunapigwa kelele nyingi wanasiasa wakilia na kuingiza siasa kwenye kila kuwa kuwa tunaibiwa. Wachumi wakizungumzia athari za kiuchumi na kwa upande wa kijamii watu kupunguzwa kazi.

Kwa kawaida kauli ya rais ni amri, ni sheria inahitaji utekelezaji tuu bila mjadala, hivyo
wengi kudhani katazo hilo la rais kupiga marufuku kusafirishwa kwa mchanga huo ni amri final and conclusive.Kauli ya Rais hutawala (final and conclusive)

Sio kila amri ya rais ni sheria na lazima itekelezwe, ili amri yoyote ya rais kuwa sheria, amri hiyo ni lazima iambatane na Presidential Decree na kutangazwa kwenye gazeti la serikali GN. Hii niliishawahi kuizungumza hapa
AG, Mshauri Mh.Rais Atoe Maagizo kwa Presidential Decrees Kuyapa Nguvu ya Kisheria
Amri hii ya kupiga marufuku kusafirishwa kwa mchanga bado sio sheria hivyo sio final and conclusive. Amri hii inaweza kupingwa na rais kulazimishwa kufuta kauli yake, au wavunje mikataba tukadaiane fidia.

Tawala za nchi zinaundwa na mihimili mitatu rasmi ya dola na mihimili wa nne usio rasmi.

Mihimili hii mitatu rasmi ni Serikali, The Executive, Bunge, The Legislator na Mahakama, The Judiciary ambapo inatakiwa kuwa huru bila kuingiliana (independent) na wakati huo huo kila mhimili ukiwa ni mwangalizi na mdhibiti wa mihimili mingine isikiuke mamlaka yake katika kanuni inayoitwa The Doctrine of Separation of Powers and Checks and Balance.

Mihimili wa Serikali unaoongozwa na rais, kazi yake ni kutawala na kuendesha serikali na kutekeleza sheria zilizotungwa na Bunge na maamuzi ya mahakama na ni kazi yake kuzipa fedha Bunge na Mahakama lakini sii kuingilia utendaji wa Mihimili hii. Serikali ni watcher wa Bunge na Mahakama.

Mihimili wa Bunge unaongozwa na Spika kazi yake ni kutunga sheria zinazotafsiriwa na mahakama na kutekelezwa na serikali. Bunge ni watcher wa serikali na mahakama.

Mhimili wa Mahakama kazi yake ni kutafsiri sheria zilizotungwa na Bunge na kutekelezwa na serikali. Hivyo ni watcher wa Bunge na Serikali.

Lengo la kila mhimili kuwa mlinzi wa muhimili mwingine ili kudhibiti hii mihimili usikiuke mamlaka yake. Hivyo serikali kulicheck Bunge na Mahakama, Mahakama kulicheck Bunge na Serikali, na Bunge kuicheck Serikali na Mahakama,
Nani Zaidi Kati ya Bunge na Mahakama?!. The Doctrine of "Separation of Powers" Nothing, Just a Myth!

Tangu serikali ya awamu ya tano imeingia madarakani, mkuu wa mhimili mmoja wa serikali amekuwa ndie kiranja mkuu akifanya maamuzi mengi tuu ya kwa maslahi ya taifa japo baadhi ya maamuzi hayo ni maamuzi ya ajabu ajabu na mengine kufanywa kwa pupa na papara, huku yakikiuka hiyo separation of powers hivyo mhimili mmoja akiachiwa bila kuwa checked na mihimili mingine inaweza kulipeleka taifa letu kusiko haswa kwa kuzingatia mkuu wa mhimili huo kuamini mhimili wake umejichimbia chini zaidi hivyo kujidhania na kujiamini kuwa yeye ndio kila kitu!, kiukweli kila kitu ni Katiba na sio mtu.
Mfano wa maamuzi hayo
Kama sio udikteta, Mhe. Rais futilia mbali utawala wa sheria, ongoza kwa 'presidential decrees'!

Watanzania ni lazima tukubali matokeo: Tutake tusitake, utawala wa sheria lazima uheshimiwe

Katazo la Rais Kusafiri Nje ya Nchi bila Vibali: Je, Halikiuki 'Separation of Powers'?

Separation of Powers: Waziri Mkuu Majaliwa atofautiana na Rais Magufuli. Nani mkweli, Nani muongo?

Japo rais ndiye kila kitu na kauli yake ni ya mwisho ila sio final and conclusive, mamlaka yenye uwezo wa kutoa kauli final and conclusive ni Mahakama pekee.

Serikali inatakiwa kutenda haki wakati wote, ikitokea serikali kutoa amri zinazokiuka haki, inaweza kushitakiwa mahakamani na mahakama ikatoa amri za kimahakama ambazo ni final na conclusive zinazoitwa executives orders na kuiamuru serikali kutenda haki kwa lazima. Amri hizo ni Prohibition, Certiorari, Mandamus, Harbea Copos na Quo Warranto (maneno mengine ni Kilatini sijui Kingereza chake wala Kiswahili chake)

Hivyo amri ya rais kupinga kusafirishwa kwa mchanga wa dhahabu inaweza kupingwa mahakamani na mahakama ikatoa amri kuiamuru serikali kuruhusu mchanga huo kuendelea kusafirishwa kama kilichokuwa kinafanyika ni kitu sahihi kwa mujibu ya sheria na kwa mujibu wa mikataba yao.

Kama katazo la rais kuzuia kusafirishwa kwa mchanga huo ni kufuatia udanganyifu kuwa wanasafirisha mchanga wa dhahabu kumbe sio mchanga bali ni dhahabu, hivyo huo ni wizi kama wizi mwingine wowote, na wahusika wanapaswa kushitakiw na sheria kufuata mkondo wake.

Kama ni hivyo, sasa serikali ifanye ukaguzi mpya kupitia GST kupima kiwango chá madini kilichopo kulinganisha na kilichokuwa declared na serikali ndio iyasafirishe hayo makontena ya mchanga na kwenda kuyatindua na kupima dhahabu na madini mengine yatakayopatikana kisha kulinganisha na kile tulichokuwa tunalipwa, kisha kuwadai fidia na faini ya makontena yote zaidi ya milioni moja taifa tulio ibiwa tangu yaanze kusafirishwa kwa kutumia ile formular ya waiba maji au waiba umeme.

Kitendo cha Spika kuamua kuunda Kamati Teule ya Bunge, kufanya uchunguzi wa kinachoendelea kwenye issue ya madini, hii ndio mara ya kwanza sasa kwa Bunge hili kuicheck serikali.

Matokeo ya Kamati hiyo ya Bunge ndio yataonyesha kama hatua zilizochukuliwa na rais wa JMT kusimamisha usafirishaji wa mchanga wa dhahabu ni hatua sahihi. Ikikutikana rais alichemka, kamati hiyo itatoa maazimio ambayo serikali itatakiwa kuyatekeleza itake isitake. Hata kama rais alichemka, taarifa hiyo haitasema kuwa rais alichemka kwa heshima ya rais, bali itatoa maazimio tofauti na katazo la rais.

Kwenye kamati Teule ya Bunge kuchunguza mkataba wa Richmond kwa jina maarufu la Kamati ya Mwakyembe, walikuta madudu kibao ya serikali, hiyo ili kuiokoa serikali, wakatafuta mbuzi wa kafara, ambapo kwa kuteswa kwake huyo mbuzi wa kafara, serikali ikaponywa.

Kitendo cha Spika Ndugai kutembelea bandarini, ni Kitendo cha kuitikia kwa haraka ule wito wangu wa juzi kuwa wasaidizi wa rais wamsaidie rais wetu. Ndugai ameamua kujitokeza Bunge kusaidia kuweka mambo sawa. Uamuzi huu hauna budi kuungwa mkono kwa dhati na waumini wote wapenda haki na waumini wa the doctrine of separation of powers and check and balance, wataunga mkono uamuzi huu.

Hongera sana Spika Job Ndugai kulitumia Bunge kumsaidia rais. Naendelea kusisitiza rais wetu asaidiwe asiachiwe kila kitu yeye peke yake.

Jumatatu Njema.

Paskali.


Sasa mbona umeandika maandishi mengi lkn unachokielezea ni rahisi sana na kinaeleweka? Wewe mwenyewe umesema mchanga unaweza kusafirishwa kama Raisi wa Nchi akibadilisha kauli yake ,hapo hapo unasema kauli yake siyo final sasa mbona kama unachanganya mambo? Swali kwako ni Je, mchanga utatoka Bandarini kama Raisi wa nchi amegoma usitoke? Ndiyo au Hapana?
 
"Mimi ni raised ninajiamini, hiwa sipangiwi wala kushauriwa cha kufanya...ehee yaani mimi huyu unipangie cha kufanya...tens mkipiga kelele ndiyo mnapotea, mimi huwa sipangiwi".
Paskali umeandika vizuri sana with vivid references, ila nayo yote yanakua valid kama tu tunakua na mtu muungwana, Mwenye heshima zake na juu ya katiba aliyoapa kuilinda.
Kwa yanayoendelea hivi Sasa, yananikumbusha miaka ya nyuma sana ambapo misuli ndiyo ilikua suluhu ya kila jambo, misuli ya mwili ndiyo ilikua heshima, hats kibanga alimpiga mkoloni kwa misuli ya mwili, . Mwenye Polisi na Jeshi ndiye Mwenye sheria.
Labda katiba yetu ingeweka mazingira ya wakati gani hawa viongozi wa kisiasa wanaweza wakaelejeza majeshi yetu juu ya nini cha kufanya. Otherwise sheria zetu zitaendelea kuwa dormant mpaka atakapo kuja kiongozi anaeamini kuwa uongozi hauhitaji risasi za moto, magari ya delaya wala misuli ya nyama za mwili Bali misuli ya akili inayochonga hoja zenye ushawishi, misingi na kasi ya radi.
 
Hilo la mchanga is just a matter of time!!!

Ni vile tu JPM anaonekana Superman kiasi kwamba wameshasahau kwamba hii sio mara ya kwanza JPM kupiga marufuku usafirishaji wa mchanga nje ya nchi!!!

Kama kumbukumbu zangu zipo sawa, kwa mara ya kwanza ilikuwa mwaka jana August lakini bado watu waliendelea kusafirisha!!!

Kwahiyo, hata katazo hili la sasa JPM hana ubavu wa kuendelea kukaza!!!

Keep the post... I repeat, it's just a matter of time!!
 
"Mimi ni raised ninajiamini, hiwa sipangiwi wala kushauriwa cha kufanya...ehee yaani mimi huyu unipangie cha kufanya...tens mkipiga kelele ndiyo mnapotea, mimi huwa sipangiwi".
Paskali umeandika vizuri sana with vivid references, ila nayo yote yanakua valid kama tu tunakua na mtu muungwana, Mwenye heshima zake na juu ya katiba aliyoapa kuilinda.
Kwa yanayoendelea hivi Sasa, yananikumbusha miaka ya nyuma sana ambapo misuli ndiyo ilikua suluhu ya kila jambo, misuli ya mwili ndiyo ilikua heshima, hats kibanga alimpiga mkoloni kwa misuli ya mwili, . Mwenye Polisi na Jeshi ndiye Mwenye sheria.
Labda katiba yetu ingeweka mazingira ya wakati gani hawa viongozi wa kisiasa wanaweza wakaelejeza majeshi yetu juu ya nini cha kufanya. Otherwise sheria zetu zitaendelea kuwa dormant mpaka atakapo kuja kiongozi anaeamini kuwa uongozi hauhitaji risasi za moto, magari ya delaya wala misuli ya nyama za mwili Bali misuli ya akili inayochonga hoja zenye ushawishi, misingi na kasi ya radi.
Ubaya watanzania wengi hawana akili
Mfano ni nyinyi apo
Hujui maesabu badara yake unapondaponda2
Hujui madhara ya michanga kwenda nje unapayukapayuka2
Nchi hii itaendelea kama tukiungana pamoja na kuleta mabadiliko
Hamueleweki mnataka nn
Ndo maana wengi wenu hamuendelei kwa kuraise sana negativity
Tujiandae kulipa watu fidia tu hapa.
 
Ubaya watanzania wengi hawana akili
Mfano ni nyinyi apo
Hujui maesabu badara yake unapondaponda2
Hujui madhara ya michanga kwenda nje unapayukapayuka2
Nchi hii itaendelea kama tukiungana pamoja na kuleta mabadiliko
Hamueleweki mnataka nn
Ndo maana wengi wenu hamuendelei kwa kuraise sana negativity

Ni hulka ya asiye na akili kujiuliza utimamu wa wengine.
Hivi huko kuungana mnaungana kama kuku wasio na vichwa?
Halafu mimi hoja yangu ilijikita katika taratibu za uongozi na utawala wewe unajuja na habari gani sijui. Haya unganeni mtakavyo muishie kula hasara.
 
Hautukatai wala hatupingi raisi kutumia executive order, kikubwa inategemea hiyo executive order unutumia vipi...

Duniani kote hakuna raisi ambae yuko juu ya bunge kwa sababu bunge ndio muhimili mkuu kuliko mingine yote, lakini sasa huyu wa kwetu anatumia executive order anavyotaka kiasi cha kuonekana yeye yuko juu ya bunge...

Yaani mpaka anathubutu kusema hakuna wa kumpangia!!!? Ajaribu kuangalia hata wenzake akina Obama waliotumia sana executive order lakini not to the extent ya kuvunja miiko ya katiba.
 
Binafsi bado nashindwa kuelewa hii 'DOCTRINE' ya kwamba TUNAIBIWA DHAHABU wakati tuna mifumo na wataalamu wa kutosha.
Tunaelewa dhahabu inapatikana kwa namna mbili('at least pale Bulyanhulu.'):
  1. Dhahabu huru.('free gold')
  2. Dhahabu iliyochanganyika na 'silver' na 'copper'.('copper concentrates') au mchanga wa dhahabu
Hii dhahabu huru huwa karibia 50% ya dhahabu na hupatikana katika mawe madogo kadiri hivyo hukusanywa na 'concentrators' na baadaye matanuru ya moto('furnaces') hutumika kuiyeyusha na kuisafisha ili kuiweka katika maofali ya dhahabu(' gold bullions'). Hii hufanyika pale pale Buly na 'samples' huchukuliwa na maabara zao('Analabs?') na maabara za serikali ili kutambua 'purity' ya dhahabu yenyewe. Halafu husafirishwa kwa ndege huku wawakilishi wa Ofisi ya Madini ya Kanda na TRA wakishuhudia.
Dhahabu inayokusanywa kwa njia ya 'copper concentrates' huwa na vipande vidogo sana vya dhahabu ambavyo haviwezi kukusanywa kwa kutumia 'concentrators' na matanuru. Hivyo mchanga husagwa na kuwa kama vumbi kisha dhahabu hukusanywa kwa kutumia mapovu ('foam' au 'froth') au 'froth floatation'. Haya mapovu baada ya kukusanya dhahabu hukamuliwa na kukaushwa hivyo kuonekana kama mchanga. Lakini ukiulowesha na maji yanarudia katika mapovu.
'Mchanga ' huu unawekwa kwenye makontena na sampuli zinachukuliwa ili kujua kiwango cha dhahabu,shaba na 'silver'.
baada ya kufanyiwa uchambuzi('gold assay') viwango vya madini hupatikana.
Baada ya Ofisi ya Madini ya Kanda na TRA kujiridhisha ndiyo makontena yanaposafirishwa kwenda DAR halafu Japan kwa ajili ya kuchenjuliwa.
Kwa mjuzi wa Hesabu au Uhandisi atakubaliana nami ukipata 'ore grade('in grammes/per tonne') ya mawe('ore') ya Buly na tani zilizotumika za mawe('ore') pamoja na dhahabu zilizozalishwa na kiasi cha madini mbalimbali(kutokana na 'assay'),
haitamchukua mtaalamu kufanya 'material balances' na kujua kama TUNAIBIWA AU LA.
SASA KULIKONI??
Usikute tunapokea taarifa za mitaani bila kufanya utafiti. Kampuni nyingi kubwa za madini ni nadra kufanya udanganyifu ambao haupo katika mikataba kwa kuwa nyingi zipo katika masoko ya hisa ya kimataifa. Kama ni udanganyifu utakuwa umehalalishwa katika mikataba pekee..
 
Wanabodi,

Wanabodi, baada ya Rais Magufuli kutoa amri ya kuzuia kusafirishwa nje kwa mchanga wa makinikia ya dhahabu, kumezua mjadala mkubwa kisiasa, kiuchumi na kijamii.

Kufuatia uamuzi huo kunapigwa kelele nyingi wanasiasa wakilia na kuingiza siasa kwenye kila kitu kwa hisia kuwa kuwa tunaibiwa. Wachumi wakizungumzia athari za kiuchumi na kwa upande wa kijamii watu kupunguzwa kazi.
Japo Beggars Can Not Be Choosers, Tuache Siasa Kwenye Uchumi. We Have to Choose Or. ..

Kwa kawaida kauli ya rais ni amri, ni sheria inahitaji utekelezaji tuu bila mjadala, hivyo
wengi kudhani katazo hilo la rais kupiga marufuku kusafirishwa kwa mchanga huo ni amri final and conclusive.Kauli ya Rais hutawala (final and conclusive)

Sio kila amri ya rais ni sheria na lazima itekelezwe, ili amri yoyote ya rais kuwa sheria, amri hiyo ni lazima iambatane na Presidential Decree na kutangazwa kwenye gazeti la serikali GN. Hii niliishawahi kuizungumza hapa
AG, Mshauri Mh.Rais Atoe Maagizo kwa Presidential Decrees Kuyapa Nguvu ya Kisheria

Kitendo cha Spika Ndugai kutembelea bandarini, ni Kitendo cha kuitikia kwa haraka ule wito wangu wa juzi kuwa wasaidizi wa rais wamsaidie rais wetu. Ndugai ameamua kujitokeza Bunge kusaidia kuweka mambo sawa. Uamuzi huu hauna budi kuungwa mkono kwa dhati na waumini wote wapenda haki na waumini wa the doctrine of separation of powers and check and balance, wataunga mkono uamuzi huu.

Hongera sana Spika Job Ndugai kulitumia Bunge kumsaidia rais. Naendelea kusisitiza rais wetu asaidiwe asiachiwe kila kitu yeye peke yake.Wasaidizi wa Rais, Please Msaidieni Rais Wetu Kwenye Public . Msimuachie Kila Kitu Peke Yake! .

Jumatatu Njema.

Paskali.
Sikuamini katu!
 
Back
Top Bottom