Je, Wafilisti ndiyo Wapalestina?

Je, Wafilisti ndiyo Wapalestina?

Majamaa yanakalia nchi ya watu
 

Attachments

  • IMG_20251231_133539_610.jpg
    IMG_20251231_133539_610.jpg
    73.7 KB · Views: 2
Katika Mwanzo 15, Mungu anampa Ibrahimu agano: "**Kwa uzao wako nitawapa nchi hii, kutoka mto wa Misri hadi mto mkubwa, Frati." Hili halina mjadala. Haitokani na siasa au maoni ya umma. Ni tendo la kimungu kwa nchi ya Israeli.
Kumbe alipewa Abraham? Sasa kivipi ni ya wayahudi pekee ilihali Abraham alikua na watoto zaidi ya 7? Na wajukuu mamia
 
Ni kweli wengi ukiwemo wewe unaongozwa na mihemko ya dini yako hapohapo unajifanya hujui kilichofanywa na Magaidi wa Hamas Oct 07,2023 na umejitoa ufahamu kabisa usijue kuwa huko Gaza kulikuwa na mateka wa kiyahudi 251.

Kwa kutokuyajua yaliyofanyika Oct 07,2023 na kuyajua tu yanayoendelea huko Gaza kwa sasa kunakufanya wewe uonekane ni mjinga na mpumbavu uliyepitiliza!!!
Westbank kuna mateka? Bethlehem kuna mateka? Mbona mnaua wapalestina wa kule? Kumbuka westbank kuna wakristo wengi wa kipalestina ila nao wanauwawa!!
 
Kama hutaelewa na ha hapa basi wewe utakuwa BUMUNDA kabisa!!

View: https://x.com/imtiazmadmood/status/1786838421534552419?s=61

Wewe uliyeshindwa kuelewa hii picha ndiye bumunda,majirani wa Palestine misri wamewaita wapalestina kabla warumi hawajaenda hapo
Hao wanaojiita wayahudi ni wazungu wa ulaya mashariki wamevamia nchi ya watu,watu wa Palestine kama uturuki na syria waliamua kusilimu, kusilimu kwao hakuwafanyi wapoteze sifa ya kumiliki nchi yao
 

Attachments

  • IMG_20251225_105959_406.jpg
    IMG_20251225_105959_406.jpg
    51.9 KB · Views: 4
Westbank kuna mateka? Bethlehem kuna mateka? Mbona mnaua wapalestina wa kule? Kumbuka westbank kuna wakristo wengi wa kipalestina ila nao wanauwawa!!
Ni kweli wakristo wako huko Judea na Samaria(west-Bank) kwa mateso na kusumbuliwa na waislam na ndiyo maana idadi yao inazidi kushuka kwa many anasonga wanayoyapata kwa kuwa ni Wakristo.

Kwa kuwa wewe ni BUMUNDA unataka kuwatumia wakristo wa huko kama kinga ili Magaidi walioko huko Judea na Samaria(West Bank)wasiangamizwe na majeshi hodari ya Israel.

Angalia hapo chini uone wakristo wanavyo nyanyasika mbele ya magaidi huko West-Bank na maeneo yanayokaliwq na magaidi hao. Wanachomewa miti ya mikrismas huko Magaidi hao wakipayuka Allah-Akbar kuonyesha chuki zao kwa Ukristo!!!!
 

Attachments

  • NOW_Christians_in_Israel_have_relit_the_Christmas_tree_at_the_Holy.mp4
    1.7 MB
  • IMG_2845.MP4
    3.8 MB
  • xtqLhNbMgFFzvYY3.mp4
    612.1 KB
  • 1767352415209.mp4
    2.9 MB
Back
Top Bottom