Stephen Ngalya Chelu
JF-Expert Member
- Oct 31, 2017
- 7,630
- 16,419
2023 Land Rover Discovery ni zaidi ya dola elfu 60 hapo bila ushuru.Toleo la kwanza ni bei gani? Na latest ni bei gani?
Hapa hapa mkuuMimi mwenye baiskel ya Swala wapi nikomment?
Bei imekaza sana IST so watu wanaona bora hyo hela wajibane kdg wachukue la juu juuIST bei imepanda sokoni lakini sababu kubwa ni kwamba hamna mnunuaji wa IST anaingia showroom saivi.
Wengi wanazinunua mtaani ambako IST zimenyooka, uzuri watumiaji IST wa namba D wengi huyatunza magari yao ni nadra sana kuikuta IST haifai imechoka hii inapelekea wanaotaka yamiliki IST wayapate kwa bei rahisi mtaani.
ukiwa na 10m-13m unapata IST imenyoooka kwa uzuri wa macho hata ya showroom haikuti.
Wakat showroom bila 17m kwenda mbele hulambi IST
IST watu wameona wanapigwa hela zao gari bei halafu baby walker,watumiaji IST wote wamekimbilia kwenye Subaru Forester.. Wanavimba tuBei imekaza sana IST so watu wanaona bora hyo hela wajibane kdg wachukue la juu juu
Sana tu mkuu kagar kadogo afu chini vile ndio mana na pia premio imepata soko, na wengine wanajilipua na Nissan DualisIST watu wameona wanapigwa hela zao gari bei halafu baby walker,watumiaji IST wote wamekimbilia kwenye Subaru Forester.. Wanavimba tu
Dualis ni new IST ..tatizo kujipiga kiberiti tuDUALIS kwenye wese imekaaje?
Dualis shingapi?? Unywaji wake WA mafuta ukoje??Dualis ni new IST ..tatizo kujipiga kiberiti tu
Kanunue yako ya show room leta picha (nnje na ndani) halafu nikuletee picha ya kitaani uone kwa vitendo kitu kinachoongelewa.Wabongo kwa ujuaji komesha yani ya kitaa iizidi ya showroom kwa ukali,,upo serious kweli
maana unafikiri wenzio wanaendesha magari kama walivyoyanunua showroom.Wabongo kwa ujuaji komesha yani ya kitaa iizidi ya showroom kwa ukali,,upo serious kweli
tofaut ni ndogo sana, Tofaut ya showroom na Hii ya mtaani ni engine tu.Hakuna kitu kama hicho, kitu kipya ni kipya tu hamna ubishi hapo sana sana utanujua kopo lililojazwa maspika maana naona kilichokuvuruga ni maspika Yale wanayoweka
Yani mimi unipe la showroom lina mileage chache uniuzie 19m halafu huyu mileage zimepshana na ya showroom kama 20,000 tu ananiuzia kwa 13m niache nichukue la showroom? ntakua sina akili.Hakuna kitu kama hicho, kitu kipya ni kipya tu hamna ubishi hapo sana sana utanujua kopo lililojazwa maspika maana naona kilichokuvuruga ni maspika Yale wanayoweka
Humuhumu kwenye discover na IST 🤣Sisi wenye phoenix tunacomment wapi...
Ukinunua Hakikisha una Fire extngiusher 3Nissan Duals gari imenyooka Sana Ile ,
Tupo team subie usihofuMie wa subaru nachangiaje😂😂🤣🤣
IST ipewe maua yake kwenye usajili wa No. D. Kwa utafiti usio rasmi asilimia 30 ya No.D ni magari ya IST. Lakini tangu usajili wa "E" uanze ni IST chache sana zimesajiliwa. Kwa utafiti usio rasmi Nissan Dualis inakimbiza sana kwenye usajili wa "E".
Kwa Nini watu wameacha kuchangamkia IST kama hapo awali?
Zamani pijo,bito n.kIST ipewe maua yake kwenye usajili wa No. D. Kwa utafiti usio rasmi asilimia 30 ya No.D ni magari ya IST. Lakini tangu usajili wa "E" uanze ni IST chache sana zimesajiliwa. Kwa utafiti usio rasmi Nissan Dualis inakimbiza sana kwenye usajili wa "E".
Kwa Nini watu wameacha kuchangamkia IST kama hapo awali?
Hamna , shida ilikuwa mafundi wengi walikuwa hawajazijulia kwenye mfumo wa umeme , kuunga unga mziki kifala fala na kuchokonoa chokonoa , gari ipo sensitive Sana Ile kwenye mifumo yake , haitaki fundi kajanja .... !!Ukinunua Hakikisha una Fire extngiusher 3