kantasundwa
JF-Expert Member
- May 25, 2020
- 1,550
- 2,381
Siwezi kumpa shetani kibari cha kuendelea kunitesa
Burundi wamenifunza, Ibilisi hapaswi kuishiHabari za mda huu.
Corona ni hatari kufata taratibu zilizoweka na wizara ya afya kujilinda na kuwalinda tuwapendao.
Niende kwenye mada chap chap.
Kumpa kura yangu ni Big No!
Vipi wewe ndugu yangu utampa kura yako?
Kabisa yanSiwezi kumpa shetani kibari cha kuendelea kunitesa
Kwangu ni NOBig Yes anapata yangu
kumbe mafurushi ni mengiSiku ya kupiga kura.naanzia baa nawachkua baa medi wote .napita kwa madem zangu wote nawapa buk 10 kumi nawambia mkiona john pombe magu weka tiki
Yeye pia mwizi aliiba sana kura na ataiba tu. anajua kuwa hammpendi. ndiyo maana mkalii hasa kwa wana Dsm hawapendi km nini!wasio mpa kura ni wale WEZI na WAPIGA DILI
Kwan unatesekakumbe mafurushi ni mengi