Wako wengi tu wakuiongoza Tanzania, Watanzania hawataki MTAWALA wanataka KIONGOZIWeka mbadala sasa, kama hapewi anpewe nani? Au kura iharibike tu?
Hapati Kura yanguHabari za mda huu.
Corona ni hatari kufata taratibu zilizoweka na wizara ya afya kujilinda na kuwalinda tuwapendao.
Niende kwenye mada chap chap.
Kumpa kura yangu ni Big No!
Vipi wewe ndugu yangu utampa kura yako?
Mimi pia Nina timu ya wapiga kura zaidi ya 20,hatumpigii ng'o.Bora tuipe kura ACT Wazalendo au CDM.Mimi na watu zaidi ya 20 kura zetu hapati
Magufuli hahitaji kura ya mtu kuwa rais,yeye anahitaji tume ya uchaguzi tu.Ana uzoefu wa kushindwa huyu hivyo hatishikiMimi pia Nina timu ya wapiga kura zaidi ya 20,hatumpigii ng'o.Bora tuipe kura ACT Wazalendo au CDM.
This time tunamtoa nishai,tunaenda na ACT Wazalendo+/CDM.Upo upande gani?Unaunga mkono wizi wa kura?Magufuli hahitaji kura ya mtu kuwa rais,yeye anahitaji tume ya uchaguzi tu.Ana uzoefu wa kushindwa huyu hivyo hatishiki
Mkuu Mimi Sina mpango wa kupiga kura,Ila Kama Kuna mpango wowote wa kuitoa ccm madarakani kwa nguvu,count me inThis time tunamtoa nishai,tunaenda na ACT Wazalendo+/CDM.Upo upande gani?Unaunga mkono wizi wa kura?
Weka mbadala sasa, kama hapewi anpewe nani? Au kura iharibike tu?
Kadi ya mke wangu ikae vizurikwani hakika nitaiiba ili nikampe kura mbili za uhakika. Uliza yanayotokea nchi jirani waliojifanya kujifungia ndani
Kwani Dovutwa anagombea?Habari za mda huu.
Corona ni hatari kufata taratibu zilizoweka na wizara ya afya kujilinda na kuwalinda tuwapendao.
Niende kwenye mada chap chap.
Kumpa kura yangu ni Big No!
Vipi wewe ndugu yangu utampa kura yako?
Kura yangu ataipata kwa wiziHabari za mda huu.
Corona ni hatari kufata taratibu zilizoweka na wizara ya afya kujilinda na kuwalinda tuwapendao.
Niende kwenye mada chap chap.
Kumpa kura yangu ni Big No!
Vipi wewe ndugu yangu utampa kura yako?
AiseeKura yangu ataipata kwa wizi