Fixed Point
JF-Expert Member
- Sep 30, 2009
- 11,304
- 12,744
I can imagine.....hivi wanajua na hawa watoto wana majaribu sana tu, wakishajua wewe sio mama yao wa kumzaa, wachache wapo poa akiwepo wangu japo mama yake mdogo na mtoto alitaka kuniletea za kuleta nikwambia weee shika adabu yako mana naweza kukufungashia huyu mtoto na utajua utakapompeleka, unaniletea nyodo hujui hata mtoto anavaa chupi gani? kiazi kabisa, alikoma kabisa, rafiki yangu yeye ni ndezii fulani anateseka sana na kumlea mtoto wa mume wake, mama wa mtoto ni fujo/maneno kila kukicha, hawaridhikagi hata uwalele watoto wao kama queens bado maneno yatakuwepo tu, huyu rafiki yangu nilimuuliza hivi unatesekea nini hivyo mmama mwenyewe anaekuletea nyodo kwa jinsi unavyokaa na mwanae alitakiwa akuheshimu sana sana, hapo hapo nikamwambia ningekuwa"mimi ni wewe ningefanya maamuzi magumu ya kugoma kumlea huyu mtoto" ili kuwe na nidhamu ati, malezi sio kitu kidogo wajameni, wacha mume aseme simpendi mwanae but niwe na amani moyoni, kama hatuheshimiani kwani nini bwana?
ila nimeona sehemu nyingi wamama wa watoto ndo huwa wanawatia kiburi watoto wao wanapokaa kwa mama zao wa kufikia.... na hii ni mbaya sana