Je, Urefu wa saa za mchana (day hours) ni sawa na saa za usiku (night hours)?

Sheillah Sheillah

JF-Expert Member
Jun 17, 2020
583
1,478
Habari?

Je, masaa ya usiku na dakika ni sawa na masaa ya mchana?

Ni kipi kinafanya usiku uonekana mfupi sana huku mchana ukionakana mrefu?

Kuna wakati usiku silali kabisa na ninasema nitalala mchana. Nikilala mchana nalala hadi nachoka na unakuta nimelala masaa 4 au matatu. Tofauti na usiku, nikifumba na kufumbua pamekucha.

Haya Masaa ni sawa kweli?

Asante.
 
Kwa nchi yetu iliyoko karibu na mstari wa equator Sa za usiku na sa za mchana zinakaribiana kulingana .
Hoja yako ya kwanini mchana ukilala bado unaamka mapema na unaona umechukua muda mrefu kulala tofauti na usiku hii ni hoja ya ki mazoeya na sio uhalisia.
Hapo umeshazoea kulala usiku hivyo kulala mchana ni kama ziada tuu ambayo utajikuta hukawii kuamka.

Muda unaosema uko katika kuhesabika(hauwezi ukaruka dakika sekunde au sa) hivyo kama umelala sa 4 usiku ukaamka sa 12 asubuhi hapo umelala sa 8 haimanishi umelala muda mfupi ila ni yale mazoeya ndo utakuta unaona muda mfupi. Ukitaka jua muda ni sawa pata shida usiku inayokufanya usilale ndo utaona urefu wake.

Ila kwa nchi nyingine zilizoko mbali na equator huwa zinagiza(Usiku) mwingi sana tofauti na mchana. Mfano kuna mji huko Alaska ambao jua halionekani takiribani miezi miwili.
Screenshot_20200803-102622.png
 
Kwa nchi yetu iliyoko karibu na mstari wa equator Sa za usiku na sa za mchana zinakaribiana kulingana .
Hoja yako ya kwanini mchana ukilala bado unaamka mapema na unaona umechukua muda mrefu kulala tofauti na usiku hii ni hoja ya ki mazoeya na sio uhalisia.
Hapo umeshazoea kulala usiku hivyo kulala mchana ni kama ziada tuu ambayo utajikuta hukawii kuamka.

Muda unaosema uko katika kuhesabika(hauwezi ukaruka dakika sekunde au sa) hivyo kama umelala sa 4 usiku ukaamka sa 12 asubuhi hapo umelala sa 8 haimanishi umelala muda mfupi ila ni yale mazoeya ndo utakuta unaona muda mfupi. Ukitaka jua muda ni sawa pata shida usiku inayokufanya usilale ndo utaona urefu wake.

Ila kwa nchi nyingine zilizoko mbali na equator huwa zinagiza(Usiku) mwingi sana tofauti na mchana. Mfano kuna mji huko Alaska ambao jua halionekani takiribani miezi miwili.
View attachment 1525691
Asante mkuu. Nimepata kitu.
 
Kwa nchi yetu iliyoko karibu na mstari wa equator Sa za usiku na sa za mchana zinakaribiana kulingana .
Hoja yako ya kwanini mchana ukilala bado unaamka mapema na unaona umechukua muda mrefu kulala tofauti na usiku hii ni hoja ya ki mazoeya na sio uhalisia.
Hapo umeshazoea kulala usiku hivyo kulala mchana ni kama ziada tuu ambayo utajikuta hukawii kuamka.

Muda unaosema uko katika kuhesabika(hauwezi ukaruka dakika sekunde au sa) hivyo kama umelala sa 4 usiku ukaamka sa 12 asubuhi hapo umelala sa 8 haimanishi umelala muda mfupi ila ni yale mazoeya ndo utakuta unaona muda mfupi. Ukitaka jua muda ni sawa pata shida usiku inayokufanya usilale ndo utaona urefu wake.

Ila kwa nchi nyingine zilizoko mbali na equator huwa zinagiza(Usiku) mwingi sana tofauti na mchana. Mfano kuna mji huko Alaska ambao jua halionekani takiribani miezi miwili.
View attachment 1525691


Umeeleza vizuri.
 
Back
Top Bottom