Nshaona watu wanawafanyia ukatili wenzao lakini mpaka wanakufa hamna baya linalowapata, unaweza Kuta mtu anamhadaaa Binti anamla siku mimba ikinasa anamkataa/anamkimbia hamna linalompata lakini akijitokeza mwingine akamuumiza huyo singlemom lazima likupate jambo